Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
Kafanye laser treatment. Sifahamu kama Tanzania wanafanya. Nimeona nje ya nchi kwenye matangazo, watu wanaenda kutoa ndevu na nywele zingine (hahahaha).
 
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
Nunua oestrogen uwe unameza. Ila ukiota chuchu mi simo!
 
Kabadili jinsia

Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
 
Yes, ni hormones.

Lakini inawezekana ana elevated levels za testosterone.

Ndo maana ana ndevu nyingi hivyo.

Laser hair removal will do the trick.
Kwahio sie wenye ndevu kama uvuzi uvuzi hatuna testosterone nyingi eeh?
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha hedhi ni dawa??


Yes, ni dawa ya kuwindia wanayama porini na pia ni dawa ya kuzuia ndevu kuota na hata ukitaka para la nguvu paka hedhi kichwani kisha nyoa baada ya dakika kama 5 hivi....utaona para linamelemeta kinoma na nywele kuchelewa kurudi.
 
Aiseee
Yes, ni dawa ya kuwindia na pia ni dawa ya kuzuia ndevu kuota na hata ukitaka para la nguvu pak hedhi kichwani kisha nyoa baada ya dakika kama 5 hivi....utaona para linamelemeta kinoma na nywele kuchelewa kurudi.
 
Back
Top Bottom