Nifanye nini? Ndoa ina miezi 10, mke wangu kabadili dini kaolewa na mwanaume mwingine

Chances kwamba hii story ni ya kweli ni 1%. Wenye shida kweli wakishaleta story ya namna hii lazima wafanye follow-up ya comments ili wasaidike.

Pole sana though!
 
Lakini mimi sasa ni mke wa mtu, endelea na maisha yako! Kwa kweli sijui nifanye nini, nimechanganyikiwa hata kutoka ndani nashindwa. Sijaweza kumuambia mtu yeyote hata wazazi wangu, siwezi kuongea nao
Pole kwa yaliyokukuta mkuu wanawake ni zaidi ya Phd wanatoa elimu moja kubwa mno ila hujachelewa wapo kibao tu saka mwingine unaemuelewa zaidi,
 
POle njoo tuyajenge nibadilishe dini tuwe wote ila sharti siku moja moja uwe unakula kisamvu cha kopo
 
baada ya kusoma huu uzi na kuumaliza nimegundua wewe jamaa ni lijinga sana
 
Kama una sikio la kusikia fanyia kazi haya aliyokwambia Mkuu Mhandisi Mzalendo,
 
phd aiu PhD yaani hata uliosoma nao hukuwaona mpaka utafitiwe mtu.
 
Shoti ilianzia hapo kwenye kutafutiwa mke kwa vigezo vya:-
  • Zama tulizonazo sasa
  • Elimu yako
  • Umri wako
Kama unakaribia miaka 40 na hujawahi kukutana na mwanamke yeyote ambaye anafaa kuwa mkeo basi subiria ku-bet na upate chochote maana hapo mara nyingi utakutana na Refurbished and Modified Equipments for Resale ambazo Maintenance History and Reason for Resale hazieleweki..

Sasa kama mtego ambao hukuwa ukiufahamu umejitegua wenyewe, we si unapumua unasonga mbele na maisha huku ukidunda ..
 
Njoo kwangu nipo sinhle rfk ili mradi uwe unanifikisha tuu
 
Sio wako hata angeolewa ndoa ikiwa na mwezi , haikuandikwa awe wako wewe mliforce tu
 
Bro neno equipment halina wingi hivyo huwezi kuweka s mwishoni kwa kumaanisha uwingi,ikiwa moja ni equipment na vikiwa vingi ni equipment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…