Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Futa namba yake acha ku mfollow mitandao ya kijamii tafuta mwingine au fanya mambo yako itakusaidiaHabari za muda huu Ndugu zangu. Poleni na changamoto za kupambana na Uviko 19.
Nije moja kwa moja kwenye mada, hivi ukimpenda Msichana au Mvulana unayeweza kuongea nae kimapenzi ingawa hujatembea nae.
Mawasiliano yake muda mwingine yamekua ya kusuasua anaweza kujibu meseji na wakati mwingine simu hapokei ,unawezaje kumsahau mtu kama huyu?.
Na wakati mwingine unaweza unaamua kabisa kumsahau na kujisemea huyu sita mpigia tena simu,lakini ikipita wiki unaanza mkumbuka na kumpigia tena.
Ni namna gani unaweza kuacha kumkumbuka mtu wa namna hii na kuachananae kabisa bila kumtafuta tena?
Sent using Jamii Forums mobile app