Mimi ni kijana ninaefanya kazi mahali fulani na muda wangu wa kazi ni usiku tu na huwa tupo wawili
Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu.
Katika zamu yangu huwa wateja ni wengi hadi wananizidia uwezo lakini akiingia yeye anapata wateja wachache hadi boss anatamka hilo suala mbele yake na imepelekea yeye kuninunia
Hii imekaaje?
Na nifanye nini ili kuepusha uadui?
Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu.
Katika zamu yangu huwa wateja ni wengi hadi wananizidia uwezo lakini akiingia yeye anapata wateja wachache hadi boss anatamka hilo suala mbele yake na imepelekea yeye kuninunia
Hii imekaaje?
Na nifanye nini ili kuepusha uadui?