Nifanyeje ili niwe na mikono milaini?

Nifanyeje ili niwe na mikono milaini?

Habari wanajamii forums,

Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?

Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.

View attachment 2642596
Paka maziwa ya mbuni siku mbili tu mikono inakuwa laini kama mlenda
 
Habari wanajamii forums,

Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?

Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.

View attachment 2642596

Cocoa butter OG, tumia kila siku
 
Habari wanajamii forums,

Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?

Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.

View attachment 2642596
Sugu za kujichubua hizo
 
Bongo bwana kuwa na mikono laini imekuwa shida.......Hili ni jukwaa la utanashati......kuwa smart ni aina ya lifestyle mtu aliyoichagua

All in all asante wote wenye positive feedback
Watu wa humu inabidi uwavilie Tu...

Mikono kua migumu inategemea na Maisha unayopitia Kwa mfano kama unafanya kazi ngumu za mikono kama vile shamba au ujenzi lazima mikono iwe migumu...

Ila Kwa wanaume wanaokula bila kutesa mikono Yao obviously ni milaini
 
Habari wanajamii forums,

Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?

Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.

View attachment 2642596
Swali wewe ni mwanaume au mwanamke? Nitashangaa kama mwanuume anajali ulaini wa ngozi yake kiasi hicho.😂
 
Back
Top Bottom