Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Bramley oil pia wanayo hand lotionWeka OG hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bramley oil pia wanayo hand lotionWeka OG hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Acha ujinga basi kumbe wakiume sikuwahi fikiria sasa unataka iwe laini laini ili ukusaidie kwenye nini mkuu
Itamsaidia kuchukua sheria mkononi maana kweliiiiiiAcha ujinga basi kumbe wakiume sikuwahi fikiria sasa unataka iwe laini laini ili ukusaidie kwenye nini mkuu
Mm naijua dawa ya mitishamba kwaajir ya klainsha ngoz, Tumia majan ya mnimba kwa kuyachemsha kwa 30 minutes. Then nawa morn baada ya kuamka na uck kbla ya klala, utanshukur later on [emoji1621][emoji1621]Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Aiyaaaaaaaaaaa.!!!! Unataka wororo wakati wewe ni mwanaume..!!!Wa kiume
Nawashangaa ata mimi ahsee dahHuo ni ushamba. Eti kuwa na mamikono yamekomaa ni uanaume. Uanaume ni uchafu?
Huwa unaandika maneno yenye hekima sometimes ila leo umezingua sanaaa,Utaanza na mikono utafuta mapaja. Kijana unataka mikono laini ikusaidie nini?? Pata hela, ukila vizuri ngozi yenyewe inajitengeneza.
NB.
Jaribu kua unapaka bluband au Glycerine mikononi
Tembea uwone acha ushamba basi, jaribu kufikiria positive muda mwingineMwanaume wataka mikono laini sio!?!?
Ndio nshatembea hadi humu jf sasa nimekutana na hii....kwani kwenye hiyo comment kuna kitu negative???Tembea uwone acha ushamba basi, jaribu kufikiria positive muda mwingine
Au apake mkojo wa pundamilia,unasaidia sanaUtaanza na mikono utafuta mapaja. Kijana unataka mikono laini ikusaidie nini?? Pata hela, ukila vizuri ngozi yenyewe inajitengeneza.
NB.
Jaribu kua unapaka bluband au Glycerine mikononi