Nifanyeje ili niwe na mikono milaini?

Nifanyeje ili niwe na mikono milaini?

Habari wanajamii forums,

Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?

Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.

View attachment 2642596
Mm naijua dawa ya mitishamba kwaajir ya klainsha ngoz, Tumia majan ya mnimba kwa kuyachemsha kwa 30 minutes. Then nawa morn baada ya kuamka na uck kbla ya klala, utanshukur later on [emoji1621][emoji1621]
 
Wanaobeza wanaume kulainisha mikono ni wapuuzi tu wasiojitambua
Watu wanafanya kazi ngumu zinazoumiza mikono na kuwa migumu kuliko kawaida
Jambo linalopelekea kutafuta utatuzi wa hiyo changamoto ili mikono iwe normal jinga linakuja kubeza hapa
 
Utaanza na mikono utafuta mapaja. Kijana unataka mikono laini ikusaidie nini?? Pata hela, ukila vizuri ngozi yenyewe inajitengeneza.

NB.
Jaribu kua unapaka bluband au Glycerine mikononi
Huwa unaandika maneno yenye hekima sometimes ila leo umezingua sanaaa,

Swala la hela na kuwa na ngozi anayeitaka jama linahusiana vipi?

Mtu kaomba msaada wewe wataka kujua anataka kuitumia vipi mikono yake. Hiyo sio kazi yako wewe mpe njia au namna yakufanya kwakile anchohitaji hayo mengine sio kazi yako

Punguza Ego broo
 
Utaanza na mikono utafuta mapaja. Kijana unataka mikono laini ikusaidie nini?? Pata hela, ukila vizuri ngozi yenyewe inajitengeneza.

NB.
Jaribu kua unapaka bluband au Glycerine mikononi
Au apake mkojo wa pundamilia,unasaidia sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF bhana, khaaah
 
Back
Top Bottom