OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa nini msimshauri kulingana na ombi lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe waweza kufanya hivyo.Kwa nini msimshauri kulingana na ombi lake?
Kusema sijui ni ushauri?Hata wewe waweza kufanya hivyo.
Inasikitisha sanaWa kiume
Chukua Vaseline ya mgando ni mazuri changanya na mafuta ya Nazi au Alovera Gel inakupa mostuirize vizurii sana.Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Acha kua na mindset za kishamba kwaio unazani kua na mikono migumu ndio uanaume dah kwakweli kuna watu mmepotea sana.Acha ujinga basi kumbe wakiume sikuwahi fikiria sasa unataka iwe laini laini ili ukusaidie kwenye nini mkuu
Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Huo ni ushamba. Eti kuwa na mamikono yamekomaa ni uanaume. Uanaume ni uchafu?Acha kua na mindset za kishamba kwaio unazani kua na mikono migumu ndio uanaume dah kwakweli kuna watu mmepotea sana.
Weka OG hapaKuna hand lotion nyingi sanaaa