Paka maziwa ya mbuni siku mbili tu mikono inakuwa laini kama mlendaHabari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
Mkuu jiangalie umri, pia hayo mambo waachie wa kike.Wa kiume
Ndio asije umiza clits ya manzi ake πMwanaume wataka mikono laini sio!?!?
achana na unachokitafuta hakina tija kwakoWa kiume
Wa kiume
Ukipata jibu nishtue mkuu namimi nitie nenoWewe ni wa kiume au wa kike?
Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
mtu ana ng'ang'ania mahala ambapo hapaja stahili
Sugu za kujichubua hizoHabari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596
NAKAZIA HAPA, Hata kama kuna mchango nipo tayari kutoaAcha bwana. Acha kabisa.
Watu wa humu inabidi uwavilie Tu...Bongo bwana kuwa na mikono laini imekuwa shida.......Hili ni jukwaa la utanashati......kuwa smart ni aina ya lifestyle mtu aliyoichagua
All in all asante wote wenye positive feedback
Swali wewe ni mwanaume au mwanamke? Nitashangaa kama mwanuume anajali ulaini wa ngozi yake kiasi hicho.πHabari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
View attachment 2642596