Nifanyeje kuwa Mchambuzi mzuri wa Siasa?

Nifanyeje kuwa Mchambuzi mzuri wa Siasa?

-Kwanza jenga tabia ya kufuatilia taarifa za habari wakati wote, Pili jenga tabia ya kufuatilia mijadala ya siasa mara kwa mara, jaribu kufuatilia hotuba za viongozi wenye mitizamo tofauti tofauti kutoka maeneo tofauti tofauti,Jaribu kufikiria ili uweze kuwa na mawazo makini kutokana na kile unachojifuza kutoka kwa wengine. Kisha za kuambiwa changanya na zako.
 
-Kwanza jenga tabia ya kufuatilia taarifa za habari wakati wote, Pili jenga tabia ya kufuatilia mijadala ya siasa mara kwa mara, jaribu kufuatilia hotuba za viongozi wenye mitizamo tofauti tofauti kutoka maeneo tofauti tofauti,Jaribu kufikiria ili uweze kuwa na mawazo makini kutokana na kile unachojifuza kutoka kwa wengine. Kisha za kuambiwa changanya na zako.

asante sana nitafuatilia hayo
 
kisana moja, Naamini haya nayo yanaweza saidia...


1. Epuka kutafuniwa. Ukipewa habari wewe unaichukua kama ilivyo na kuikumbatia.
2. Epuka ushabiki, siku zote tazama jambo free of emotions with a clear mind bila kujalisha ni kitu gani.
3. Penda sana kusoma, kusoma hakuhusu tu mambo ya Siasa, yale ambayo ni msingi hasa yale ambayo kwa namna moja ama nyingine huguswa na Siasa. Take note; Siasa kama siasa ni narrow, kinachofanya iwe pana ni yale mengi ambayo hufanywa kwa jina la Siasa.
4. Uwe na an open Mind. Kusikiliza pande zote hata kama zipo nyingi za entity yoyote ambayo unataka kuielewa, na kuzisikiliza kwa umakini ulio sawa na vile vile katika kufuatilia entity husika.
5. Jf is the best place ya kujifunza Uchambuzi, si lazima ukawa mchangiaji kwa muda. Unaweza kuwasoma wadau mbali mbali katika mada mbali mbali wanavyochambua hoja zao (iwe za kukubaliana ama kukataliana) na hivyo yaweza kuchangia wewe kuelewa na kuongeza kitu katika uchambuzi.
6. Amini na usimamie kile ambacho wewe unaamini huku ukiwa hodari kujihusisha mijadala hasa na wale ambao wapo tofauti na wewe kimawazo ili kujitafakari upya kile ambacho unaamini na kile ambacho unakijua (Ukiacha walau nafasi kidogo ya kubadili msimamo endapo tu hoja na msimamo wako umeonyeshwa si njia sahihi).
7. Na mengine mengi...


Kuna members hapa Jamvini wataalam wa Uchambuzi wa Mambo ya Siasa wakipata nafasi pengine wataweza kuongezea kwa manufaa ya wengi.

CC - Nguruvi3, Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, EMT, Ng'wamapalala, Pasco, Jasusi, Mag3, Rutashubanyuma, Shayu, Ngongo, jouneGwalu, n00b, Ben Saanane, Mkandara, Zakumi na wengine weengi.
 
Last edited by a moderator:
dada AshaDii kitamboo back to topic mambo muhmu ya kufanya; fatilia mijadala mbalimbali ya siasa, uwe na mtizamo usio na upendeleo, kuwa na msimamo katika unachokiwaza na kukiamin, sikiliza na fatilia hata yale yanayokinzana na hsia zako.
 
Last edited by a moderator:
Mi naongezea na hili hapa mkuu...."ijue katiba ya nchi"...pia itakupa fursa ya kujua mengi kuhusiana na siasa...japo sio yote ila itakupa msingi mzuri....
 
Hivi vitu huwa ni kipaji ama elimu...kwa maelezo yako nimegundua huna hicho kipaji kwani ungekuwa nacho kwa sasa ungekuwa umeshaanza ushauri wa bure kasome political science, diplomacy pia unaweza kusoma uandishi wa habari ambapo itakubidi uwa unasoma na kusikiliza makala mbalimbali ya kisiasa, hata sheria pia itakuwezesha...swali lingine
 
kisana moja, Naamini haya nayo yanaweza saidia...


1. Epuka kutafuniwa. Ukipewa habari wewe unaichukua kama ilivyo na kuikumbatia.
2. Epuka ushabiki, siku zote tazama jambo free of emotions with a clear mind bila kujalisha ni kitu gani.
3. Penda sana kusoma, kusoma hakuhusu tu mambo ya Siasa, yale ambayo ni msingi hasa yale ambayo kwa namna moja ama nyingine huguswa na Siasa. Take note; Siasa kama siasa ni narrow, kinachofanya iwe pana ni yale mengi ambayo hufanywa kwa jina la Siasa.
4. Uwe na an open Mind. Kusikiliza pande zote hata kama zipo nyingi za entity yoyote ambayo unataka kuielewa, na kuzisikiliza kwa umakini ulio sawa na vile vile katika kufuatilia entity husika.
5. Jf is the best place ya kujifunza Uchambuzi, si lazima ukawa mchangiaji kwa muda. Unaweza kuwasoma wadau mbali mbali katika mada mbali mbali wanavyochambua hoja zao (iwe za kukubaliana ama kukataliana) na hivyo yaweza kuchangia wewe kuelewa na kuongeza kitu katika uchambuzi.
6. Amini na usimamie kile ambacho wewe unaamini huku ukiwa hodari kujihusisha mijadala hasa na wale ambao wapo tofauti na wewe kimawazo ili kujitafakari upya kile ambacho unaamini na kile ambacho unakijua (Ukiacha walau nafasi kidogo ya kubadili msimamo endapo tu hoja na msimamo wako umeonyeshwa si njia sahihi).
7. Na mengine mengi...


Kuna members hapa Jamvini wataalam wa Uchambuzi wa Mambo ya Siasa wakipata nafasi pengine wataweza kuongezea kwa manufaa ya wengi.

CC - Nguruvi3, Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, EMT, Jasusi, Mag3, Rutashubanyuma, Ngongo, n00b, Ben Saanane, Mkandara, na wengine weengi.

Jamani Asha!
Mimi ni wa kiwango hiki pamoja na hao mentors wangu??

Ahsante kwa acknowledgment...

Vitu vya msingi kwa upana wake umeshavieleza, wengi tutazunguka humohumo tu.

Mkuu Kisana moja naamini siasa ni kitu unapenda hadi umetumia njia ya busara namna hii kuchukua maoni watu, hii inaonyesha utafanikiwa sana maana ili uweze kuchambua vitu ni lazima uwe mtu wa kusikiliza sana, kutazama kwa umakini na kusoma sana.

Tuzidi kuwa pamoja hapa Jukwaani
 
kisana moja, Naamini haya nayo yanaweza saidia...


1. Epuka kutafuniwa. Ukipewa habari wewe unaichukua kama ilivyo na kuikumbatia.
2. Epuka ushabiki, siku zote tazama jambo free of emotions with a clear mind bila kujalisha ni kitu gani.
3. Penda sana kusoma, kusoma hakuhusu tu mambo ya Siasa, yale ambayo ni msingi hasa yale ambayo kwa namna moja ama nyingine huguswa na Siasa. Take note; Siasa kama siasa ni narrow, kinachofanya iwe pana ni yale mengi ambayo hufanywa kwa jina la Siasa.
4. Uwe na an open Mind. Kusikiliza pande zote hata kama zipo nyingi za entity yoyote ambayo unataka kuielewa, na kuzisikiliza kwa umakini ulio sawa na vile vile katika kufuatilia entity husika.
5. Jf is the best place ya kujifunza Uchambuzi, si lazima ukawa mchangiaji kwa muda. Unaweza kuwasoma wadau mbali mbali katika mada mbali mbali wanavyochambua hoja zao (iwe za kukubaliana ama kukataliana) na hivyo yaweza kuchangia wewe kuelewa na kuongeza kitu katika uchambuzi.
6. Amini na usimamie kile ambacho wewe unaamini huku ukiwa hodari kujihusisha mijadala hasa na wale ambao wapo tofauti na wewe kimawazo ili kujitafakari upya kile ambacho unaamini na kile ambacho unakijua (Ukiacha walau nafasi kidogo ya kubadili msimamo endapo tu hoja na msimamo wako umeonyeshwa si njia sahihi).
7. Na mengine mengi...


Kuna members hapa Jamvini wataalam wa Uchambuzi wa Mambo ya Siasa wakipata nafasi pengine wataweza kuongezea kwa manufaa ya wengi.

CC - Nguruvi3, Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, EMT, Ng'wamapalala, Pasco, Jasusi, Mag3, Rutashubanyuma, Shayu, Ngongo, jouneGwalu, n00b, Ben Saanane, Mkandara, Zakumi na wengine weengi.


Missed you dada.

U mzima???
 
Last edited by a moderator:
fanya tafiti katika kila kila kauli matamko au mambo yasemwayo na viongozi wakuu wa nchi na wanasiasa wa ndani na nje.fuatilia mikutano ya siasa bunge
 
Kwanza kabisa ijue SIASA yenyewe, ndipo utakua na uwezo wa kuchambua yahusuyo SIASA
 
Duh AshaDii nashukuru kwa kunitaja ingawa naamini bado sijakaribia level ya Mzee Mwanakijiji Nguruvi3 Pasco Jasusi ...............

kisana moja, Naamini haya nayo yanaweza saidia...


1. Epuka kutafuniwa. Ukipewa habari wewe unaichukua kama ilivyo na kuikumbatia.
2. Epuka ushabiki, siku zote tazama jambo free of emotions with a clear mind bila kujalisha ni kitu gani.
3. Penda sana kusoma, kusoma hakuhusu tu mambo ya Siasa, yale ambayo ni msingi hasa yale ambayo kwa namna moja ama nyingine huguswa na Siasa. Take note; Siasa kama siasa ni narrow, kinachofanya iwe pana ni yale mengi ambayo hufanywa kwa jina la Siasa.
4. Uwe na an open Mind. Kusikiliza pande zote hata kama zipo nyingi za entity yoyote ambayo unataka kuielewa, na kuzisikiliza kwa umakini ulio sawa na vile vile katika kufuatilia entity husika.
5. Jf is the best place ya kujifunza Uchambuzi, si lazima ukawa mchangiaji kwa muda. Unaweza kuwasoma wadau mbali mbali katika mada mbali mbali wanavyochambua hoja zao (iwe za kukubaliana ama kukataliana) na hivyo yaweza kuchangia wewe kuelewa na kuongeza kitu katika uchambuzi.
6. Amini na usimamie kile ambacho wewe unaamini huku ukiwa hodari kujihusisha mijadala hasa na wale ambao wapo tofauti na wewe kimawazo ili kujitafakari upya kile ambacho unaamini na kile ambacho unakijua (Ukiacha walau nafasi kidogo ya kubadili msimamo endapo tu hoja na msimamo wako umeonyeshwa si njia sahihi).
7. Na mengine mengi...


Kuna members hapa Jamvini wataalam wa Uchambuzi wa Mambo ya Siasa wakipata nafasi pengine wataweza kuongezea kwa manufaa ya wengi.

CC - Nguruvi3, Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, EMT, Ng'wamapalala, Pasco, Jasusi, Mag3, Rutashubanyuma, Shayu, Ngongo, jouneGwalu, n00b, Ben Saanane, Mkandara, Zakumi na wengine weengi.
 
Last edited by a moderator:
Habari Wakuu,

Kwa watu wanaopenda kutoa maarifa kwa manufaa ya wengine ningependa wanisaidie kwa hili; nahitaji kuwa mchambuzi wa masuala ya Siasa ila sijui njia itakayo niwezesha kuwa mchambuzi.

Msaada wenu tafadhali.
tupe matokeo yako ya kidato cha nne na sita kwanza!!
 
Jikite kwenye kupata maarifa basing on theories na facts juu ya maeneo haya matano.
Liberty
Equality
Efficiency
Community
Democracy

Na kisha evaluations zako zote zibase kwenye inferences za mambo hayo, then you are good to go.
 
Back
Top Bottom