Nifanyeje kuwa Mchambuzi mzuri wa Siasa?

Nifanyeje kuwa Mchambuzi mzuri wa Siasa?

7.
quote_icon.png
By AshaDii
kisana moja, Naamini haya nayo yanaweza saidia...

..........................................
Na mengine mengi...


Kuna members hapa Jamvini wataalam wa Uchambuzi wa Mambo ya Siasa wakipata nafasi pengine wataweza kuongezea kwa manufaa ya wengi.

CC - Nguruvi3, Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, EMT, Ng'wamapalala, Pasco, Jasusi, Mag3, Rutashubanyuma, Shayu, Ngongo, jouneGwalu, n00b, Ben Saanane, Mkandara, Zakumi na wengine weengi.

jingine la muhimu ni kukubali kukosolewa pale unapoona umekosea kwani hakuna ajuaye yote. Sote ni vipofu ambao tunampapasa tembo. Wengine wamemgusa sikio wanadhani ni kama ungo..........................wengineo wamempapasa mgongo wanadhani tembo ni kama ukuta........................wengineo wamemshika mkia wanadhani tembo ni kama nyoka...................wengineo tumemshika mguu twadhani ni kama mchi wa kutwangia bila ya kujiuliza kinu chake kiko wapi?
 
Habari Wakuu,

Kwa watu wanaopenda kutoa maarifa kwa manufaa ya wengine ningependa wanisaidie kwa hili; nahitaji kuwa mchambuzi wa masuala ya Siasa ila sijui njia itakayo niwezesha kuwa mchambuzi.

Msaada wenu tafadhali.

kwenye kitabu cha Mohamed Said Abdullah kiitwacho "siri ya sifuri" nilijifunza ya kuwa siri ya kujifunza lolote lile ni kupenda na kujizoea.........ukitaka kuwa mchambuzi mzuri anza leo kuchambua.............ukitaka kuogelea anza leo kujifunza kuogelea bila ya kujali masimango kibao utakayokutana nayo..........wako wengi watakuponda wakida bado u mchanga lakini ujue hakuna safari isiyoanza na hatua ya mosi!
 
Huyu dada ni mzuri sana wala hawezi kukwepa hilo. Kuna hawa watu sikuhizi siwaoni humu ndani sijui wako wapi? Dua, kiruma, Mgumu, Mwanagenzi, Field Marshall ES, Augustine Moshi, Tatu, Eric ongora, Phillemon Mikael, Jasusi, Washawasha, Ogah, Tabasamu, Manji makuti, Mkira, Sam, Jizaledo, Kulikoni, Mkuyuga, mTz, alles, Mkandara, quarz, @kichunguu, timbwilitimbwili. Hawa jamaa kila nikisoma maandishi yao natamani niwaone wakiendelea kutoa darasa za mambo ya siasa humu ndani. Popote walipo Mungu awe nao manake wametuachie elimu kubwa humu.
Tupo ila majukumu yamekuwa mengi ndio maana tumeingia mdikologo kidogo.
Nalog off
 
Tupo ila majukumu yamekuwa mengi ndio maana tumeingia mdikologo kidogo.
Nalog off

quote_icon.png
By CHAMVIGA
Huyu dada ni mzuri sana wala hawezi kukwepa hilo. Kuna hawa watu sikuhizi siwaoni humu ndani sijui wako wapi? Dua, kiruma, Mgumu, Mwanagenzi, Field Marshall ES, Augustine Moshi, Tatu, Eric ongora, Phillemon Mikael, Jasusi, Washawasha, Ogah, Tabasamu, Manji makuti, Mkira, Sam, Jizaledo, Kulikoni, Mkuyuga, mTz, alles, Mkandara, quarz, @kichunguu, timbwilitimbwili. Hawa jamaa kila nikisoma maandishi yao natamani niwaone wakiendelea kutoa darasa za mambo ya siasa humu ndani. Popote walipo Mungu awe nao manake wametuachie elimu kubwa humu."

Nipo...huwa nachungulia na kuchangia kadri inavyofaa!
 
quote_icon.png
By CHAMVIGA
Huyu dada ni mzuri sana wala hawezi kukwepa hilo. Kuna hawa watu sikuhizi siwaoni humu ndani sijui wako wapi? Dua, kiruma, Mgumu, Mwanagenzi, Field Marshall ES, Augustine Moshi, Tatu, Eric ongora, Phillemon Mikael, Jasusi, Washawasha, Ogah, Tabasamu, Manji makuti, Mkira, Sam, Jizaledo, Kulikoni, Mkuyuga, mTz, alles, Mkandara, quarz, @kichunguu, timbwilitimbwili. Hawa jamaa kila nikisoma maandishi yao natamani niwaone wakiendelea kutoa darasa za mambo ya siasa humu ndani. Popote walipo Mungu awe nao manake wametuachie elimu kubwa humu."

Nipo...huwa nachungulia na kuchangia kadri inavyofaa!
Tupo kaka ila maisha yametuweka mbali kidogo na mambo ya digital,ila tuko pamoja sana kiongozi wangu.
Nalog off
 

1. Uelewa wa Misingi ya Siasa

  • Jifunze kuhusu mfumo wa kisiasa wa nchi yako na dunia, ikiwa ni pamoja na demokrasia, udikteta, ujamaa, ubepari, n.k.
  • Fahamu mgawanyo wa madaraka (Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Bunge, Mahakama, n.k.).
  • Elewa misingi ya katiba, sheria, na sera za umma.

2. Historia ya Kisiasa

  • Jifunze historia ya kisiasa ya nchi yako na dunia ili kuelewa jinsi mifumo na itikadi zilivyobadilika.
  • Fahamu matukio muhimu kama mapinduzi, vita vya kisiasa, na maendeleo ya kidemokrasia.

3. Itikadi na Vyama vya Kisiasa

  • Elewa falsafa na itikadi za vyama tofauti vya kisiasa, mfano:
    • Ubepari vs Ujamaa
    • Uliberali vs Uhafidhina
    • Vyama vya siasa vya ndani ya nchi yako na historia yao

4. Uchumi na Sera za Serikali

  • Fahamu jinsi uchumi unavyoathiri siasa na kinyume chake.
  • Jifunze kuhusu bajeti ya serikali, kodi, biashara, na maendeleo ya kiuchumi.
  • Tathmini jinsi sera mbalimbali zinavyogusa maisha ya watu wa kawaida.

5. Diplomasia na Mahusiano ya Kimataifa

  • Jifunze kuhusu mashirika ya kimataifa kama UN, AU, IMF, World Bank, EU na nafasi ya nchi yako ndani yake.
  • Elewa mikataba na ushirikiano wa kimataifa.

6. Uandishi na Uwasilishaji wa Mawazo

  • Kuwa na uwezo wa kuandika makala za uchambuzi wa kisiasa.
  • Jifunze mbinu za mjadala na jinsi ya kujieleza kwa ufasaha katika televisheni, redio, au mitandao ya kijamii.
  • Fahamu jinsi ya kuwasilisha hoja kwa mantiki na ushahidi.

7. Uchambuzi wa Takwimu na Utafiti

  • Jifunze kusoma takwimu, tafiti, na ripoti rasmi ili kuwa na uchambuzi sahihi.
  • Elewa mbinu za tafiti za kisiasa na upigaji kura.

8. Mitandao na Mahusiano

  • Jenga mahusiano na wanasiasa, waandishi wa habari, wanaharakati, na wataalamu wa siasa.
  • Shiriki mijadala na makongamano kuhusu siasa na utawala.

9. Uwezo wa Kuwa Mkweli na Kujitegemea

  • Epuka upendeleo wa kisiasa kwa kupendelea chama au mtu binafsi.
  • Jifunze kuwa mwepesi wa kutathmini mambo kwa usawa na kuwasilisha uchambuzi wa haki.
 
Habari Wakuu,

Kwa watu wanaopenda kutoa maarifa kwa manufaa ya wengine ningependa wanisaidie kwa hili; nahitaji kuwa mchambuzi wa masuala ya Siasa ila sijui njia itakayo niwezesha kuwa mchambuzi.

Msaada wenu tafadhali.
Njoo CCM tukupike kwanza!
 

1. Uelewa wa Misingi ya Siasa

  • Jifunze kuhusu mfumo wa kisiasa wa nchi yako na dunia, ikiwa ni pamoja na demokrasia, udikteta, ujamaa, ubepari, n.k.
  • Fahamu mgawanyo wa madaraka (Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Bunge, Mahakama, n.k.).
  • Elewa misingi ya katiba, sheria, na sera za umma.

2. Historia ya Kisiasa

  • Jifunze historia ya kisiasa ya nchi yako na dunia ili kuelewa jinsi mifumo na itikadi zilivyobadilika.
  • Fahamu matukio muhimu kama mapinduzi, vita vya kisiasa, na maendeleo ya kidemokrasia.

3. Itikadi na Vyama vya Kisiasa

  • Elewa falsafa na itikadi za vyama tofauti vya kisiasa, mfano:
    • Ubepari vs Ujamaa
    • Uliberali vs Uhafidhina
    • Vyama vya siasa vya ndani ya nchi yako na historia yao

4. Uchumi na Sera za Serikali

  • Fahamu jinsi uchumi unavyoathiri siasa na kinyume chake.
  • Jifunze kuhusu bajeti ya serikali, kodi, biashara, na maendeleo ya kiuchumi.
  • Tathmini jinsi sera mbalimbali zinavyogusa maisha ya watu wa kawaida.

5. Diplomasia na Mahusiano ya Kimataifa

  • Jifunze kuhusu mashirika ya kimataifa kama UN, AU, IMF, World Bank, EU na nafasi ya nchi yako ndani yake.
  • Elewa mikataba na ushirikiano wa kimataifa.

6. Uandishi na Uwasilishaji wa Mawazo

  • Kuwa na uwezo wa kuandika makala za uchambuzi wa kisiasa.
  • Jifunze mbinu za mjadala na jinsi ya kujieleza kwa ufasaha katika televisheni, redio, au mitandao ya kijamii.
  • Fahamu jinsi ya kuwasilisha hoja kwa mantiki na ushahidi.

7. Uchambuzi wa Takwimu na Utafiti

  • Jifunze kusoma takwimu, tafiti, na ripoti rasmi ili kuwa na uchambuzi sahihi.
  • Elewa mbinu za tafiti za kisiasa na upigaji kura.

8. Mitandao na Mahusiano

  • Jenga mahusiano na wanasiasa, waandishi wa habari, wanaharakati, na wataalamu wa siasa.
  • Shiriki mijadala na makongamano kuhusu siasa na utawala.

9. Uwezo wa Kuwa Mkweli na Kujitegemea

  • Epuka upendeleo wa kisiasa kwa kupendelea chama au mtu binafsi.
  • Jifunze kuwa mwepesi wa kutathmini mambo kwa usawa na kuwasilisha uchambuzi wa haki.
Umeeleza vizuri sana na huo ndio uchambuzi mzuri. Nakupongeza kwa kufuzu uchambuzi makini.
 
Back
Top Bottom