Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Tafuta demu dogo, ni kawaida ya vijana wenye nyege mshindo kudhani kila mdada anacheka mbele yake au alienza kumpa salama basi anamkubali.
Wengi wenu huishia kuumbuka mkipeleka tongozo lenu na kubwagwa kwa aibu huku ulijipa 100% kua hachomoi
 
Mwenzako anataka kufurahisha wateja wewe unahisi kakupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…