Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Andazi mpelekeni mdogo wenu kwa wahaya 🤣😂 ujue kaenda kunyoa na kuvaa boxer nyingine katuma picha kidude kimepauka na kakomaa mipeke sijui ana shave na jembe 😂🤣
Honey 😭😭 usinisutee mchuchu unaniumiza kisaikolojia kipenzi changu
 
Mtafune lakini usijenge kibanda ni kwa kutolea kutu tu basi.
 
Hv kwa akili yako kabisa unadhan anakuchekea ww au visenti senti vyako?

Acha ujinga kijana!

Af nasikia harufu ya Gono na UTI sugu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…