Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Habari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga).

Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula daily chakula cha mchana na usiku hapo . Hii ni baada ya Nourhan kugoma kunipa location ya anapouza chakula chake jijini hapa dsm. Sehemu hiyo ninayokula ina wahudumu mbali mbali lakini mkuu wa hapo ni mbibi na wahudumu ni vidada mbali mbali kama 3 wanaofanya kazi kwa round tofauti.

Kati ya hao wahudumu wa 3, wa 2 wameolewa 1 ana mtoto ila sijawahi kuona baba mtoto wake ndo huyo anayekuwa mcheshi sana kwangu hadi nimeshtuka 🤔.

Jana nilitoka nikasepa town kufuatilia ishu zangu hivyo mchana na usiku sikula pale ambayo sio kawaida yangu. leo nimeenda mchana akaanza kucheka na kunichangamkia na kuniuliza mbona jana sikuwepo nilikuwa wapi na mambo kibao nikamjibu tu kiutani utani basi ikatoka hiyo

Kuna siku tulikutana mjini kama wapita njia akaanza kucheka kinoma mmmh mi nilishtuka lakini sikuonyesha ila nilishangaa tu kwanini anicheke kiasi kile basi kila mtu akaenda zake.

Sasa hii tabia yake inaninyegesha sana wakuu mfano nimekuwa nikimuwazia ngono na mambo ya kitandani muda wote yaani hapa nafikiria tu nikimtongoza akakubali alafu kwenye 6 * 6 sijui itakuwaje.

Pamoja na hayo wateja wengine anawachamgamkia ila mimi ni zaidi.

N.b wakuu naombeni mawazo yenu kati ya haya

1. Kwa sababu ana viashiria vya singo maza anataka mwanaume mjinga anase kwake ili ampige kizinga?

2. Ni tabia yake tu kuchekeachekea wanaume?

3. Ana kiumalaya?

4. Ametokea kunikubali na anataka nimtafune

Naombeni majibu na mawazo yenu wakuu
Anakuchekea ili uendelee kula hapo.

Bila kuwa mcheshi ni ngumi kupata mauzo ya kuridhisha.
 
Habari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga).

Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula daily chakula cha mchana na usiku hapo . Hii ni baada ya Nourhan kugoma kunipa location ya anapouza chakula chake jijini hapa dsm. Sehemu hiyo ninayokula ina wahudumu mbali mbali lakini mkuu wa hapo ni mbibi na wahudumu ni vidada mbali mbali kama 3 wanaofanya kazi kwa round tofauti.

Kati ya hao wahudumu wa 3, wa 2 wameolewa 1 ana mtoto ila sijawahi kuona baba mtoto wake ndo huyo anayekuwa mcheshi sana kwangu hadi nimeshtuka 🤔.

Jana nilitoka nikasepa town kufuatilia ishu zangu hivyo mchana na usiku sikula pale ambayo sio kawaida yangu. leo nimeenda mchana akaanza kucheka na kunichangamkia na kuniuliza mbona jana sikuwepo nilikuwa wapi na mambo kibao nikamjibu tu kiutani utani basi ikatoka hiyo

Kuna siku tulikutana mjini kama wapita njia akaanza kucheka kinoma mmmh mi nilishtuka lakini sikuonyesha ila nilishangaa tu kwanini anicheke kiasi kile basi kila mtu akaenda zake.

Sasa hii tabia yake inaninyegesha sana wakuu mfano nimekuwa nikimuwazia ngono na mambo ya kitandani muda wote yaani hapa nafikiria tu nikimtongoza akakubali alafu kwenye 6 * 6 sijui itakuwaje.

Pamoja na hayo wateja wengine anawachamgamkia ila mimi ni zaidi.

N.b wakuu naombeni mawazo yenu kati ya haya

1. Kwa sababu ana viashiria vya singo maza anataka mwanaume mjinga anase kwake ili ampige kizinga?

2. Ni tabia yake tu kuchekeachekea wanaume?

3. Ana kiumalaya?

4. Ametokea kunikubali na anataka nimtafune

Naombeni majibu na mawazo yenu wakuu
Huna hiyo miaka 29, nakujua kuliko ninavyojua sehemu zangu za siri, kwanza umepangiwa na wazazi wako kuanzia simu mpaka boksa ni vya baba yako hujua a wala b ndio maana unakubali kushikwa kalio na mganga

nilishakwambiaga maisha hayapo hivyo we endelea kunako endelea serikali itazidisha kodi kwenye pampasi za watu wazima kwa % 200 ili watu kama nyie mvae mifuko ya lailoni

acha ujinga kwani ukisoma mada za kukuelimisha kunanini?
au kuandika hivi ndio kutakufanya upendwe na mademu aaa wapi maana meno yenyewe huna

mwisho unamiaka ambayo tukijumlisha na nyongeza ya 1 hufiki 21
 
Huyo kashakuona wewe mjinga umri mkubwa na bado unakura kwenye vibanda umiza ujitambui.......kicheko chake ni dharau ndio maana unaona anakupa signed...........
 
Huna hiyo miaka 29, nakujua kuliko ninavyojua sehemu zangu za siri, kwanza umepangiwa na wazazi wako kuanzia simu mpaka boksa ni vya baba yako hujua a wala b ndio maana unakubali kushikwa kalio na mganga

nilishakwambiaga maisha hayapo hivyo we endelea kunako endelea serikali itazidisha kodi kwenye pampasi za watu wazima kwa % 200 ili watu kama nyie mvae mifuko ya lailoni

acha ujinga kwani ukisoma mada za kukuelimisha kunanini?
au kuandika hivi ndio kutakufanya upendwe na mademu aaa wapi maana meno yenyewe huna

mwisho unamiaka ambayo tukijumlisha na nyongeza ya 1 hufiki 21
Ile forum yenu inaendeleaje dogo? Sema we binadamu mtakavitu una shida sana 🤣.

Paragraph yote hiyo ya nini sasa?

Cc Gily Gru huyu mtoto wako vipi mkuu?
 
Ile forum yenu inaendeleaje dogo? Sema we binadamu mtakavitu una shida sana 🤣.

Paragraph yote hiyo ya nini sasa?

Cc Gily Gru huyu mtoto wako vipi mkuu?
forum ipi? binadamu mtakavitu yupu
Upumbavu wako unakufanya uwehuke na huyo Gily Gru unamtakia nini? ana mke huyo hataki mke wmingine

tumia akili dogo linda linamuda tu ila baada ya hapo ukishavaa pampasi hakuna atakaye kujali last hatutoi mchango maana ni zako kuja kuomba pesa PM kisingizie unauza mk unabaati yule member uliemtumia picha zako za mk kapoteza simu
 
forum ipi? binadamu mtakavitu yupu
Upumbavu wako unakufanya uwehuke na huyo Gily Gru unamtakia nini? ana mke huyo hataki mke wmingine

tumia akili dogo linda linamuda tu ila baada ya hapo ukishavaa pampasi hakuna atakaye kujali last hatutoi mchango maana ni zako kuja kuomba pesa PM kisingizie unauza mk unabaati yule member uliemtumia picha zako za mk kapoteza simu
Kwani na account kapoteza 🤣😂 Andazi muache last born wa JF 😂🤣
 
forum ipi? binadamu mtakavitu yupu
Upumbavu wako unakufanya uwehuke na huyo Gily Gru unamtakia nini? ana mke huyo hataki mke wmingine

tumia akili dogo linda linamuda tu ila baada ya hapo ukishavaa pampasi hakuna atakaye kujali last hatutoi mchango maana ni zako kuja kuomba pesa PM kisingizie unauza mk unabaati yule member uliemtumia picha zako za mk kapoteza simu
Carleen
 
Back
Top Bottom