Kwaiyo ata kama akimuona anakunywa sumu amuache?Muache mtu ale anachopenda we kinakuhusu nin
Mwache tu,yani mtuu aache kitimoto hivi hivi ?Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Sasa si bora ule tuHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Yule mdudu ukimuonja na wewe utabobea,Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
paka mwitu hawauzwi unatakiwa ukawinde mwituni kwa kutumia mbwa wa Germany SheffieldPaka mwitu wanauzwa wapi?
Akili ya mbele hii.Yule mdudu ukimuonja na wewe utabobea,
cha kufanya,wewe mwachie kuku ale wadudu ,wewe utakutana nao wakati unakula nyama ya kuku.
Una dhambi sana[emoji28] ni machukizo kwa mthabato kunyonya denda, ni machukuzo kwenda chumvini au kunyonywa boloyangi, style ya sex inayokubaliwa na sisi wathabato ni misionary tu tena tusivue nguo zote na taa tuzime. Uthabato hoyeeHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Roast baada ya kuichemsha vizuri 📌Ndo nyama Bora kabisa kuliwa ila ichomwe vizuri japokua sidhani kama umemanisha hilo