Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo

The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.

Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Usiite vitu vitamu gududu
 
Gududu.jpg
 
Mwisho wake ni kufutuka futuka km PIG, na ukifika stage hio jamaa wanakua washaweka kambi kwenye UBONGO wanapiga misele utazima maumivu kwa pombe kali Ila hawafi kirahisiiii, nilishawahi kua na manzi tulikua in relationship since 2008 (akiwa kiportable) akawa anapenda sana kula mdudu ilipofika 2020 alikua kifutu yaan kafutuka futuka na radha ya kumpenda ikaishia hapo

Ila pia aliniambukiza ugonjwa mmoja wa bacteria ambao nilitumia pesa mingi kuutibu, relationship ended there sasa hivi sijui ana hali gani uko alipo maana alikua anajizima maumivu aliyokua anayapitia kwa kuumwa kichwa kwa kunywa pombe kaaaali usishangae mabinti wa R chuga kubugia mipombe mikali, learn from here
 
Mbona maji mnakunywa na mnajua wazi nguruwe walifia humo.... Msilifupishe lile andiko.
Someni lote.
Ugonjwa wa PIG umeingia uko baraza la madiwani wameomba wafungiwe eneo maalum wasiachwe wanazagaa, hana tofauti na popo huyo mdudu

Wala popo cha Moto 🔥 wanakipata bado zamu ya wala PiG
 
Ha ha ha nawewe bila shaka ushalishwa zile steki steki bila kujua anakulisha kimahaba.......anywei kuna vitu ni ngumu kuacha hata jamaa yangu mkewe aliahidi kuacha Pombe,baada ya Ndoa kama miezi 6 akaanza kumuomba mumewe angalau moja per day 🙁........saizi fridge linapendeza kabisa na jamaa hakuwa anakunywa saizi wote walevi
Hahaha nimependa hiyo, ..ila pombe anageweza kuacha tu.

Ila shida ni kuacha vitu ulivyokulia kwwnye dini, mfano wa binti mkristo abadili dini awe muislam alafu aje aambiwe anaongezewa mke..atavimba ila binti aliyekulia uislam ni rahisi, maana misingi ya dini anaelewa.

Hata huyo wa kitimoto, anaona huyu bwana msabato niaje niajeeee.

Pombe nimeacha, ila daaah nahisi kama ntakuja kurudia badae,naomba Mungu nisirudi.
 
Ungeoa msabato mwenzio. Kitimoto tamu. Mkuu onjapo finyango moja
Andaa maumivu ya UBUNGO

Huyu mjomba hua anajisevia chakula kwenye UBONGO wako ukila PiG na yeye anakula, usipokula anakushambulia uagize PiG ule hapo ndio unaanza kusikia maumivu ya kichwa

Good News right?

Screenshot_20230215-144832.png
 
Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo

The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.

Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Ila nyie wataalam bana [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo nyama ya nguruwe watu wanakulaga miaka na miaka ila tukiwauliuza tuonesheni walio athirika hakuna ....ila mnalishana mbuzi wakati mbuzi ukifululiza tu ndani ya mwezi madhara yake unayaona papo hapo...ila kwa sababu mmekaririshwa endeleeni kukalili
 
Ila nyie wataalam bana [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo nyama ya nguruwe watu wanakulaga miaka na miaka ila tukiwauliuza tuonesheni walio athirika hakuna ....ila mnalishana mbuzi wakati mbuzi ukifululiza tu ndani ya mwezi madhara yake unayaona papo hapo...ila kwa sababu mmekaririshwa endeleeni kukalili
Endelea kula PiG
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?

Mkuu kama ulimpenda akiwa anakula kitimoto, iweje sasa unaleta malalamiko, inabidi uishi na matokeo ya maamuzi yako uliyoyafanya ndo maisha bila hivyo utakosa amani ya moyo.
 
ile ladha unapata kwa kitanda ndio matokeo ya kitimoto siku akiacha utelezi utapungua ndugu.
 
Back
Top Bottom