Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Acha unaa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio zinakiwa zimebaki kwenye meno mpka na we ujikute umekula?,siakila mwambie apige mswak bhana usimnyime uhuru sana mwenzioHujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Nina miaka 30 na kitu namtafuna huyu pig wala hana matatizo ila nikila nyama ya mbuzi mara tatu tu kwa wiki naumwa gautEndelea kula PiG
Mkuu nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi Mimi ndio napenda Mbuzi balaa maana hana madhara makubwa sio PiG mnyama hatari kwa afya, Mbuzi napenda sana supu ya Kichwa mzee tamu balaaNina miaka 30 na kitu namtafuna huyu pig wala hana matatizo ila nikila nyama ya mbuzi mara tatu tu kwa wiki naumwa gaut
Noma hilo dubwasha mtu akilila ndani ya miaka 10 mrejesho anakua ameshaupata, anafutukafutuka waangalie Wala PiG wote matumbo yao utanielewa nazungumzia nini hakuna mla PiG asie na kitambi
Kaka mimi ni msabato mwenzio.Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Braza hata wewe ukionja mdudu hutokaa uache...kweni mdudu anashida gani? Acha kucomplicate maisha...acha wife apige mududuMimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
nani alisibitisha kuwa nguruwe ni sumu na !watu kila siku wanajilambalamba labda sum kwako 😂Nguruwe ana madhara mengi kuliko faida kiafya ngurue ni sumu.
daaaaa😂😂😂😂 kuna muda huwa natamani niache lakin nikisikia harufu ya lost basiiii😂😂😂😂😂Braza hata wewe ukionja mdudu hutokaa uache...kweni mdudu anashida gani? Acha kucomplicate maisha...acha wife apige mududu
wew nimbea sasa kama uliona facebook mbona unasema hukuu !Hii Post mbona niliiona Facebook?
Nina Bibi anafuga na kula ni zaidi ya miaka 60 sasahivi 😀😀na yeye anakimbilia 93 na bado anaingia bandani mwenyeweIla nyie wataalam bana [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo nyama ya nguruwe watu wanakulaga miaka na miaka ila tukiwauliuza tuonesheni walio athirika hakuna ....ila mnalishana mbuzi wakati mbuzi ukifululiza tu ndani ya mwezi madhara yake unayaona papo hapo...ila kwa sababu mmekaririshwa endeleeni kukalili
Hata unavyotembea tu Kuna madhara makubwa sana,msimsingizie NguruweNguruwe ana madhara mengi kuliko faida kiafya ngurue ni sumu.
🤣🤣🤣 Acheni kutisha watu,kama imani yako haikuruhusu kausha tuAndaa maumivu ya UBUNGO
Huyu mjomba hua anajisevia chakula kwenye UBONGO wako ukila PiG na yeye anakula, usipokula anakushambulia uagize PiG ule hapo ndio unaanza kusikia maumivu ya kichwa
Good News right?
View attachment 2518345