Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Nitajie mnyama asiyekua
Subiri hadi Campylobacteriosis ianze kumtafuna ndio ataelewa, au subiri hadi Cysticercosis impige kidogo ataelewa madhara Ila akiendelea kua mbishi basi usiwe na wasiwasi maana Neurocysticercosis itampa somo

The tapeworm eggs hatch, but instead of developing into an adult tapeworm in the intestines, they burrow into the bloodstream as would normally occur in a pig. In a human, they often end up in the brain, forming cysts that cause a disease called neurocysticercosis. It can cause seizures, headaches and can lead to death.

Ushauri wangu: muache aendelee kula pork madhara atayaona baadae saaana
Kwani anakula nyama mbichi? Mbona hao tapeworm pia wanapatikana kwa ng'ombe na hamleti hayo mabango yenu?
 
Gudude
shutterstock_420849964.jpg
 
Ila nyie wataalam bana [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo nyama ya nguruwe watu wanakulaga miaka na miaka ila tukiwauliuza tuonesheni walio athirika hakuna ....ila mnalishana mbuzi wakati mbuzi ukifululiza tu ndani ya mwezi madhara yake unayaona papo hapo...ila kwa sababu mmekaririshwa endeleeni kukalili
Wataalamu uchwara hao maana hao minyoo wanapatikana hata kwa ng'ombe ila wao kampeni yao ni against nyama pendwa Tu😄
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Acha ujinga wewe. Huo ni upumbavu wa hali ya juu unaotaka kufanya.

Kitimoto hakina shida yoyote, kama wewe huli basi baki na ujinga wako.

Halafu ni ujinga wa hali ya juu kumlazimisha mtu afuate imani yako ya kidini.
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kama wewe huli, Baki mwenyewe usile, Usifosi na kulazimisha na mwenzako asile kwa kigezo cha Dini.
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?
Kama vipi achana nae tu, kama umeshindwa kuvumilia hiyo karaha.
 
Umenipa hamu, naenda kutafuta kiti moto, ni nyama nzuri sana, muache kwani ni chaguo lake nawe tafuta chaguo lako. Hakika Mungu alituandalia kitoweo kizuri sana. Mungu wa Wasabato na Wakatoliki ni mmoja, muache apige kiti moto.
 
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.

Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.

Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.

Je nifanyeje aache kula hugo gudude?

Ni mkatoliki ndo sababu, mwache ale, sio msabato, alibadilika ili umuoe!
 
Ni mkatoliki ndo sababu, mwache ale, sio msabato, alibadilika ili umuoe!
Upo sahihi, kuitoa imani ya mtu aliyelelewa nayo ni ngumu sana..Nilipata binti wa kiislam ila kabadili dini kwa maneno yake.

Ila bado ana zile mambo za uisalm, japo anasema kwa sasa ni mkristo na kanisani anaenda.
 
Back
Top Bottom