Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Bro Mshana uwapi tafadhali, nisaidieni kumtag apate notification🙏🙏
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani[emoji120][emoji19].
Si mlisema kwenye ndoa Hakuna Uhuru wala faragha, Mume ni mtumwa wa mke na Mke ni mtumwa wa mume.

Ila Mkuu inaonyesha unakamchepuko.. Hahaha
 
Si mlisema kwenye ndoa Hakuna Uhuru wala faragha, Mume ni mtumwa wa mke na Mke ni mtumwa wa mume.

Ila Mkuu inaonyesha unakamchepuko..Hahaha
Tatizo lake hajanitegea kwa upendo ni anajihami tu kwakuwa yeye ananicheat sana, anadhani ntalipiza
 
anakulinda zidi yahao vijana unao ongea nao Mana hawachelewi kufanya kweli muda wowote. anataka ajue siku utakayo anza mipangotu yakuharibu ili akupe makavu yako.
 
anakulinda zidi yahao vijana unao ongea nao Mana hawachelewi kufanya kweli muda wowote. anataka ajue siku utakayo anza mipangotu yakuharibu ili akupe makavu yako.
Kama ni hivo atasubiri sana.
 
Back
Top Bottom