Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaposema anakuona kila hatua, ina maana hata huu uzi uliofungua Jf ameshauona na kukuuliza?Nibora hata angenifungia ndani isingekuwa tatizo, ila hiyo ya kuniona kila hatua siikubali kabisa
aisee pole sanaHapana, hanicontrol ila ananiona
Jay achana na hz mammbo mkuu😂Ohoo.... Kwa God njia ni zipi? Na kwa leviathan connection inapatikana wapi? Penye uhakika wa kupata nachotaka ni wapi? Mchakato huchukua mda gani mpaka nibobee?
Wee hupendi kuwa super power? Napenda niwe na uwezo kuzidi ubinadamu ili nipate uzoefu wa ziadaJay achana na hz mammbo mkuu😂
Kule nabii atasema dawa lazima asokomeze na fimbo,then jamaa atajua atamsimulia alichoambiwa.Una uhakika ni mchawi?
Dawa ya wachawi ipo kwa nabii mkuu jeo dev wasiliana naye kutengua uchawi wa mumeo
Hadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.Wee hupendi kuwa super power? Napenda niwe na uwezo kuzidi ubinadamu ili nipate uzoefu wa ziada
subiri utolewe roho, omba sana Mungu. huyo ana roho ya uganga. nilishawahi kuwa nayo hadi nilipomkimbilia Mungu ndio ikakimbia. kuna kipindi kila kinachoenda kufanyika keso au wiki nzima nilikuwa najua na nina uhakika nacho na kinatokea kweli. huyo mwenzako hajui kwa nguvu zake, ni kwa nguvu za shetani, na hana uwezo dhidi ya hizo nguvu na hata hizo nguvu zikitaka roho yako kupitia yeye hazitahitaji ridhaa yake, watakutwaa tu. pia umeshawekwa kweney survaillance ya kuzimu hapo upo wazi kila unachokifanya anakiona kwenye ulimwengu wa roho. kimbilia kwa Yesu haraka kabla hujafa, utakuja kunishukuru.Salaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Vipi ile experience ya ku interact na viumbe wasioonekana? Kuona yasioonekana, hicho ni kipawa bora sanaHadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.
Usiishi kwa nusu taarifa jua kila kinacho husu unachokitaka.
Na kuwa juu ya watu lazima uanze kuwa mtumishi wao kabla ya wao kujisubmit na kukutii na kukuabudu.
Vipi ile experience ya ku interact na viumbe wasioonekana? Kuona yasioonekana, hicho ni kipawa bora sanaHadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.
Usiishi kwa nusu taarifa jua kila kinacho husu unachokitaka.
Na kuwa juu ya watu lazima uanze kuwa mtumishi wao kabla ya wao kujisubmit na kukutii na kukuabudu.
Huo uchawi kaka acha 😂 la sivyo uwe mutu ya Mungu na ndie atakufunulia mengi ya siriniVipi ile experience ya ku interact na viumbe wasioonekana? Kuona yasioonekana, hicho ni kipawa bora sana
AsanTe sanasubiri utolewe roho, omba sana Mungu. huyo ana roho ya uganga. nilishawahi kuwa nayo hadi nilipomkimbilia Mungu ndio ikakimbia. kuna kipindi kila kinachoenda kufanyika keso au wiki nzima nilikuwa najua na nina uhakika nacho na kinatokea kweli. huyo mwenzako hajui kwa nguvu zake, ni kwa nguvu za shetani, na hana uwezo dhidi ya hizo nguvu na hata hizo nguvu zikitaka roho yako kupitia yeye hazitahitaji ridhaa yake, watakutwaa tu. pia umeshawekwa kweney survaillance ya kuzimu hapo upo wazi kila unachokifanya anakiona kwenye ulimwengu wa roho. kimbilia kwa Yesu haraka kabla hujafa, utakuja kunishukuru.
Uhuru wa nini na wewe umeolewa!unataka ufanye nini ambacho mumeo hutaki ajuwe...?Salaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Endelea kuchepukaSalaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.