Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nibora hata angenifungia ndani isingekuwa tatizo, ila hiyo ya kuniona kila hatua siikubali kabisa
Unaposema anakuona kila hatua, ina maana hata huu uzi uliofungua Jf ameshauona na kukuuliza?
 
Ohoo.... Kwa God njia ni zipi? Na kwa leviathan connection inapatikana wapi? Penye uhakika wa kupata nachotaka ni wapi? Mchakato huchukua mda gani mpaka nibobee?
Jay achana na hz mammbo mkuu😂
 
Wee hupendi kuwa super power? Napenda niwe na uwezo kuzidi ubinadamu ili nipate uzoefu wa ziada
Hadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.
Usiishi kwa nusu taarifa jua kila kinacho husu unachokitaka.

Na kuwa juu ya watu lazima uanze kuwa mtumishi wao kabla ya wao kujisubmit na kukutii na kukuabudu.
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
subiri utolewe roho, omba sana Mungu. huyo ana roho ya uganga. nilishawahi kuwa nayo hadi nilipomkimbilia Mungu ndio ikakimbia. kuna kipindi kila kinachoenda kufanyika keso au wiki nzima nilikuwa najua na nina uhakika nacho na kinatokea kweli. huyo mwenzako hajui kwa nguvu zake, ni kwa nguvu za shetani, na hana uwezo dhidi ya hizo nguvu na hata hizo nguvu zikitaka roho yako kupitia yeye hazitahitaji ridhaa yake, watakutwaa tu. pia umeshawekwa kweney survaillance ya kuzimu hapo upo wazi kila unachokifanya anakiona kwenye ulimwengu wa roho. kimbilia kwa Yesu haraka kabla hujafa, utakuja kunishukuru.
 
Hizo nguvu huwezi zicontrol? Hazitawaliki? Huwezi kuzizima na kuziwasha?
 
Hadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.
Usiishi kwa nusu taarifa jua kila kinacho husu unachokitaka.

Na kuwa juu ya watu lazima uanze kuwa mtumishi wao kabla ya wao kujisubmit na kukutii na kukuabudu.
Vipi ile experience ya ku interact na viumbe wasioonekana? Kuona yasioonekana, hicho ni kipawa bora sana
 
Hadi hapo ushafail .. umetaka vitu kutokana na msukumo wa nje.Umetamanai kuwa Validated na kuwa accepted na wengine na hivi ndivyo watu hutegwa.
Usiishi kwa nusu taarifa jua kila kinacho husu unachokitaka.

Na kuwa juu ya watu lazima uanze kuwa mtumishi wao kabla ya wao kujisubmit na kukutii na kukuabudu.
Vipi ile experience ya ku interact na viumbe wasioonekana? Kuona yasioonekana, hicho ni kipawa bora sana
 
subiri utolewe roho, omba sana Mungu. huyo ana roho ya uganga. nilishawahi kuwa nayo hadi nilipomkimbilia Mungu ndio ikakimbia. kuna kipindi kila kinachoenda kufanyika keso au wiki nzima nilikuwa najua na nina uhakika nacho na kinatokea kweli. huyo mwenzako hajui kwa nguvu zake, ni kwa nguvu za shetani, na hana uwezo dhidi ya hizo nguvu na hata hizo nguvu zikitaka roho yako kupitia yeye hazitahitaji ridhaa yake, watakutwaa tu. pia umeshawekwa kweney survaillance ya kuzimu hapo upo wazi kila unachokifanya anakiona kwenye ulimwengu wa roho. kimbilia kwa Yesu haraka kabla hujafa, utakuja kunishukuru.
AsanTe sana
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Uhuru wa nini na wewe umeolewa!unataka ufanye nini ambacho mumeo hutaki ajuwe...?
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Endelea kuchepuka
 
Back
Top Bottom