Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umependa boga penda na ua lakeSijawahi kucheat wala kuwaza hilo. Sipendi anavoniona kila nachofanya. I just need my privacy
Hata nikiongea na strangersMarafiki zako huwa wanamwambia..chunguza huuo unaeongea nae...zero in kufatilia Nan huwa ukiongea nae exact anakuja kukwambia...jaribu kuongea na watu watano na uongee nao issue tofauti..halafu angalia akija kusema Kama atasema story za wote watano....kikulacho
Na were ni kabila ganiNi mMakonde mkuu
Nae ataishia kuchora tatoo ya Mchungaji jeo dev Kama yule Mama wa Arusha!!Una uhakika ni mchawi?
Dawa ya wachawi ipo kwa nabii mkuu jeo dev wasiliana naye kutengua uchawi wa mumeo
Basi kama kaweka mtego na umefanikiwa.. hiyo sayansi alotumia hata kama ni ushirikina na haukudhuru ni vyema akaufanyia promo auuze hata ulaya.. tumechelewa sana hizi ndo teknolojia zetu[emoji1787]Salaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani[emoji120][emoji19].
Yes but fanya yako acha mdomoUnafikiri anakupenda au kajipatia mtumwa wake? Pole! Uko mikononi mwa mbinafsi, asiyejali hisia zako.
1. Mnaishi Umakondeni?Mchaga
Unaamini ujingaHe!!Kwakuwa?
Na atakuwa keshangunguliwa mara tu baada ya kuchora hiyo tattooNae ataishia kuchora tatoo ya Mchungaji jeo dev Kama yule Mama wa Arusha!!
privacy ya nini wakati ninyi mwili mmoja?[emoji23]Sijawahi kucheat wala kuwaza hilo. Sipendi anavoniona kila nachofanya. I just need my privacy