Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kwanza kabisa inawezekana ni simu yako ndio imedukuliwa, muda wote maiki inanasa sauti inayotumwa kwa mhusika, kama ni hivi jaribu kuformat upya simu yako kila kitu endapo udukuzi ni wa kawaida, kwa uhakika zaidi ili kukabiliana na udukuzi sugu ambao hautolewi hata kwa kufomati simu nakushauri nunua simu mpya, miaka ya hapo nyuma nilishuhudia jamaa flani anapelekewa simu mpya zinazotolewa kwa kivuli cha zawadi kwa wake wa wahusika zinadukuliwa mapema kabla ya kuzawadiwa
kama ni hicho unachodhani basi nikusahishe tu, Huo sio ushirikina bali ni mambo ya tamaduni zetu za afrika, Mfano Mkwawa alikuwa na wake 15 hivi, Alikuwa na mtambo wake kumgundua aliechepuka, Nenda makumbusho ya Kaelnga utapewa full story 🙂🙂
Ok, back to the topic, Huyo mme wako inaonekana nae wamemmegea kateknolojia ka kudukua ama kuhack mawasiliano yako kwa njia za asili kabisa, ni heri mtu adukue simu yako kwa teknolojia ya mzungu kuliko mtu akudukue mawasiliano yako kwa njia asili, hata kufeki hautaweza.
Haijalishi una elimu gani au cheo kipi, mwenzio kashakuzidi nguvu huyo, ukae kwa kutulia bila kumkwaza, endelea kuufaidi utimamu wako kihisia lasivyo anaweza kukuchapa limbwata usione wengine zaidi yake,
Labda cha kukusaidia tu utupe kabila lake, kuna makabila mengine mbinu zao zinajulikana na zinaweza kuwa unlocked, Hivyo ingependeza uelezee katokea wapi.
Sijawahi kucheat wala kuwaza hilo. Sipendi anavoniona kila nachofanya. I just need my privacy
Basi sema unataka zawadi gani maana wenzako wanaomsifia wanakula maisha...hadi hamorapa,mr pimbi nao wapo arusha kwa nabii wakisikilizia mandinga.Usafiri wa fisi naukubali zaidi, hayo ma BMX ya wakoloni siyashobokei, so sihitaji gari.
Zawadi pekee nayohitaji toka kwake ni kumilikishwa hilo kanisa lake la kisongoBasi sema unataka zawadi gani maana wenzako wanaomsifia wanakula maisha...hadi hamorapa,mr pimbi nao wapo arusha kwa nabii wakisikilizia mandinga.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kutaka kwako kuperekewa Moto na wahuni kutakupereka kubaya ...........tuliza mshono........kama ulizoea kukunwa kunwa hapa utaumia...............
atarudi na tatoo!!!Mkuu weka contacts zako nabii mkuu geo devi akupe BMX X3.
Kujitafutia presha za rejareja tu!!Kama ni maongezi ya simu pekee ndiyo huwa anajua basi atakuwa amekuwekea spying app kwenye simu yako.
Kama hata ukiongea na bodaboda mubashara na yeye hayupo halafu anajua basi hapo umeuvaa mkenge. Labda tumuite Mshana Jr aje ajaribu kukusaidia...
NB: Huyo jamaa kabila gani?
Halafu wamakonde wanajua sana ile kazi kama sie wanyamwezi...😍🤪Ni mMakonde mkuu
Halafu imechorwa karibu na ile kitu yetu.atarudi na tatoo!!!
Ninachokiona hapa wewe ndio mshirikinaSalaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Jmaaa mbaya sana!!!Halafu imechorwa karibu na ile kitu yetu.
Sahihi Kabisa. Kama mnapendana na mnaaminiana kitu gani kingine ambacho anahisi mume hapswi kujua kama sio mambo ya kishenzPersonal privacy unayo mbona, yeye sio Mungu bali ni mwanadamu tu. Wengi mnatakaga freedom ya kuficha ouvu