Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Usihofu, ukisikia "my soulmate", ndo hiyo sasa...

Kama nawe unamuita mumeo your soulmate basi unamdanganya lakini huyo mwenzako, wewe ndo soulmate yake hasa!

Ngoja kwanza... my soulmate vs my second half ni ipi ina nguvu sana?!

Sasa mtu ana-share mtima na wewe halafu unashangaa akifahamu usemayo?!

Tembea kifua mbele dada, unapendwa!!
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Kama ni mrefu na mweusi , vumilia tu mkuu kwani ndio chagua la moyo wako
 
Tulia Sasa yeye na wewe Ni mwili mmoja ,hata kichwa kilitakiwa kiwe kimoja na tumbo moja. Naye anakupenda ndio Mana ameamua kukatalia kabisa.

Nishawahi penda mpaka nikaenda kutaka kumuoa mtu bana.upendo achana naye. Huyo anakupenda mpaka ameamua kujiunganisha mind zenu ziwaze sawa jamani. Ni upendo wa Hali ya juu mno
Mahaba niue..😂😂
 
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
kwahiyo ndo umekuja kunisema huku au sio
 
Which privacy kama yote ni ya heri.
Limbukeni wa zinaa ndo uhofu kuhusu privacy
Mfano mdogo kuna kitu siri za familia sio ya wewe na mumeo wee na ndugu na wazazi wako. Kila unachozungumza na familia yako na yeye akijue? Ni sawa hiyo!!?
 
Back
Top Bottom