Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Asante nitafanya hivyo.
 
Sijaelewa
 
Ndio hata nikiingia chooni ajue!! Dah
Sasa wew ukiongea na vijana hutaki mumeo ajue[emoji1787][emoji1787] Siku mtunuku yule kijana hatajuaa nakwambiaa...!! Anyway kama ni mumeo sioni shida maana nyie ni mwili mmoja shida wew unataka privacy ya kufanyaa uhuniii.
 
Sijaelewa
Ananiona kwa kila jambo hajawahi nifuma nikicheat au kuwa na mipango hiyo. Ko tego lake limemfanya ajiamini kupitiliza, awe hanijali, hata tu ule wivu na mkewe hana, yani simtishi kwa lolote kwakuwa ananiona kiila hatua anajua huyu n waangu tu
 
Hiz ndoa tunakurupuka kweli...MTU aliyesalama ni yule anaishi pekeyake.Ukitaka ndoa kubaliana na yote
 
Sasa wew ukiongea na vijana hutaki mumeo ajue[emoji1787][emoji1787] Siku mtunuku yule kijana hatajuaa nakwambiaa...!! Anyway kama ni mumeo sioni shida maana nyie ni mwili mmoja shida wew unataka privacy ya kufanyaa uhuniii
He's being careless kwajili ya hilo tego lake. Na kwanini anijue kiila kitu. Wee jaribu kuvaa viatu vyangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…