Acha kumdanganya mwenzio,maisha ya ubinafsi hayana faida yoyote zaidi ya kuufanya ubongo kuwa dormant, elimu ya mtaani ni muhimu sana kwa ustawi kuliko unavyofikiliaSio lazima uwe karibu na watu!
After all unataka kujifunza nini kwa watu ambao asilimia 90 ya mazungumzo yao ni ngono, udaku na porojo!
Lock yourself in a room and watch a good movie or read a book!
Mimi nadhani uko sawa tu na ndio tabia yako hiyo!
Ukikaa na hawa waswahili watakuambukiza uwezo duni wa kufikiri tu. Hakuna lolote utakalojifunza zaidi ya staili za ngono na kupiga domo forodhani.
Kuna dogo mmoja wakati nipo kino pale tulikaa nae miezi 3 bila stori zaid ya salaam akanikimbia akaenda kusema kwa ndg eti mim na roho mbaya...kumbe ni LIFESYTLE TU!Wewe kama mimi tu..
Ndivyo ulivyo hakuna namna hapo, enjoy tu maisha yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye movies mara nyingi hata mimi huwa napenda saana sijui kwanini?Hapo hujamshauri kitu. Anatakiwa awe na marafiki wenye hobbies kama zake. Kama anapenda movies atajenga urafiki wa kuangalia movies pamoja, kama ni mpenzi wa magari ajenge urafiki na wanaopenda magari etc.
Itakuwa rahisi kwake kupata marafiki wa aina yake na sio kulazimisha kujenga urafiki na marafikio sio aina yake.
Sent using Cash Money Wings
Aisee hatari sana dah.....!!Type ya watu Kama mleta mada anaweza kutafuna madem kijj kizima watu wasijue
Kizibo
Rafiki yake atakuwa mke atakaemuoa.Watakuwa wanaangalia movie pamoja.Kukaribisha watu nyumbani ni kukaribisha matatizo, binadmu hawaaminiki.Mimi nimebadirika kutoka kuwa na marafiki mpaka kuwa peke yangu Marafiiki ndio maadui.Hapo hujamshauri kitu. Anatakiwa awe na marafiki wenye hobbies kama zake. Kama anapenda movies atajenga urafiki wa kuangalia movies pamoja, kama ni mpenzi wa magari ajenge urafiki na wanaopenda magari etc.
Itakuwa rahisi kwake kupata marafiki wa aina yake na sio kulazimisha kujenga urafiki na marafikio sio aina yake.
Sent using Cash Money Wings
Huna HELA ndo maana unaona unajitengaHabari za mida hii wapendwa
Mimi ni wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wawili. Katika makuzi yangu tokea Primary School nilikuwa naishi kwa style fulani ya kujitenga tenga na wenzangu. Ikafika kipindi wenzangu niliokuwa nikisoma nao shule wakawa wananiita mimi mchawi.
Kwa mfano labda kama kuna kitu shuleni ambacho kinahusisha wingi wa watu mimi lazima nitatoroka shuleni au kama zile group discussions basi mimi lazima nitajitenga. Nilikuwa sipendi kuwa na rafiki kuna jamaa yangu mmoja alikuwa anapenda kuwa karibu na mimi lakini ilifika mahali hata akija nyumbani kuniuliza nilikuwa namkwepa.
Sasa wadau tatizo limekuwa sugu hadi sasa hivi nimekuwa sina rafiki hata nikisema nijichanganye kwa watu nakuwa sijisikii kujiamini. Kuna muda nasema labda nianze kushabikia mpira lakini sina muda navyo hivyo vitu kwa kifupi hadi saivi sina rafiki hata mmoja.
Kuna wengine nawaona wanaoenda kuwa karibu na mimi lakini nimekuwa mtu wa kujitenga nao. Kwa kifupi nikienda kazini ya huko nayaacha huko huko nikirudi nyumbani napenda kujifungia ghetto kuangalia movies kuchati nikitoka mgahawani narudi tena mbio nyumbani. Bahati nzuri nyumba niliyopanga niko peke yangu yule mama kashanizoea naweza kukaa na watu nakuwa mpenzi msikilizaji tu siongei neno hata moja, wakinisemesha najibu short ama nakuwa mkali.
Naombeni ushauri jamani, kuna muda nawaza hadi nafika mbali. Kwanini nimekuwa mtu wa kujitenga?
Mm niko Kama mleta mada [emoji817]%, halaf napenda sex chat na madem kinyamaaaa,
Kizibo
Habari za mida hii wapendwa
Mimi ni wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wawili. Katika makuzi yangu tokea Primary School nilikuwa naishi kwa style fulani ya kujitenga tenga na wenzangu. Ikafika kipindi wenzangu niliokuwa nikisoma nao shule wakawa wananiita mimi mchawi.
Kwa mfano labda kama kuna kitu shuleni ambacho kinahusisha wingi wa watu mimi lazima nitatoroka shuleni au kama zile group discussions basi mimi lazima nitajitenga. Nilikuwa sipendi kuwa na rafiki kuna jamaa yangu mmoja alikuwa anapenda kuwa karibu na mimi lakini ilifika mahali hata akija nyumbani kuniuliza nilikuwa namkwepa.
Sasa wadau tatizo limekuwa sugu hadi sasa hivi nimekuwa sina rafiki hata nikisema nijichanganye kwa watu nakuwa sijisikii kujiamini. Kuna muda nasema labda nianze kushabikia mpira lakini sina muda navyo hivyo vitu kwa kifupi hadi saivi sina rafiki hata mmoja.
Kuna wengine nawaona wanaoenda kuwa karibu na mimi lakini nimekuwa mtu wa kujitenga nao. Kwa kifupi nikienda kazini ya huko nayaacha huko huko nikirudi nyumbani napenda kujifungia ghetto kuangalia movies kuchati nikitoka mgahawani narudi tena mbio nyumbani. Bahati nzuri nyumba niliyopanga niko peke yangu yule mama kashanizoea naweza kukaa na watu nakuwa mpenzi msikilizaji tu siongei neno hata moja, wakinisemesha najibu short ama nakuwa mkali.
Naombeni ushauri jamani, kuna muda nawaza hadi nafika mbali. Kwanini nimekuwa mtu wa kujitenga?