Nifanyeje niache tabia ya kujitenga na watu?

Acha kumdanganya mwenzio,maisha ya ubinafsi hayana faida yoyote zaidi ya kuufanya ubongo kuwa dormant, elimu ya mtaani ni muhimu sana kwa ustawi kuliko unavyofikilia
 
Hapo kwenye movies mara nyingi hata mimi huwa napenda saana sijui kwanini?
 
Sasa unachat na nani kama rafiki hupendi kuwa naye?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Vijiweni hakuna lolote ka maana.Unapokaribishaa watu ndio unakaribisha matatizi,wivu chuki husda nk.Watu shirikiana nao katika matukio muhimu.
Hivi ukienda kijiweni unaongeza nini? Kama kazi zako hazina mahusiano na mikusnyiko huna haja kupoteza muda kukaa kijiweni kusubiri usiku uingie.
Watanzania tunamaisha Fulani ya kupoteza muda.Mtu anatoka shamba/kazini saa sita, anakula,anaoga anaenda kirabuni,mpirani,kijiwe kahawa au baa.Analewa na kuongea huko mpaka usiku.Waafrika Wengi ndio maisha yao na usipiyafuata unaonekana hauko sawa.Wewe umekomboka hongera!!
 
Rafiki yake atakuwa mke atakaemuoa.Watakuwa wanaangalia movie pamoja.Kukaribisha watu nyumbani ni kukaribisha matatizo, binadmu hawaaminiki.Mimi nimebadirika kutoka kuwa na marafiki mpaka kuwa peke yangu Marafiiki ndio maadui.
 
Huna HELA ndo maana unaona unajitenga
 
Kuwa na jamaa,usiwe na marafiki.Ukikaribisha rafiki atapiga hata mkeo au mtoto wako wa kike.
 
Asee sinaga Habari Nawatu Nilipo Panga Naweza Kuwa Ndani na wasihisi Kama nipo Sometimes hadi labda niwashe tv

Huwa inaniwia vigumu Sometimes Lkn Naamini kunaninayo epushwa Maana Dunia yasasa Hakuna Usawa Hakuna Upendo Unaweza lazimisha makundi Ili kujifariji Mwisho Wasiku yakawa Faida kwako au Hasara na Kuharibu kilakitu Katika Maisha Yako

Nandio Maana sipendi makundi Bora ku enjoy my own happiness Kwanza Kuna Corona
Sio Vyema kujichanganya changanya ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unachat na nani kama si rafiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…