Nifanyeje sina hisia nae kabisa

Kama ni muislam kaombe talaka maisha ni zawadi usikubali kingwendu mmoja akufanye uishi kwa tabu ikiwa yeye ana raha zake
 
Shetani yuko job.

Kwa ushauri wangu, haya uliyoyasema humu yaweke vizuri halafu umwambie. Mwambie kila kitendo kinachokukera. Mwambie na hatua unazotaka kuchukua.
 
Down in the broken heart , touched by loving caring hand! Chords that are broken will vibrate once more!
Mzee mshana siku hizi unavunja yai kama Genta😂😂😂
 
Uandishi wako unaonhesha wazi wewe umemzidi kipato.
Kuna mtu mwingine anakugegeda nje ya ndoa.
Ushauri wangu: Mpe talaka 3 tuu
 
Wengine wanajitambua tu,
Lengo wanatafta kumstress mtoa mada,
Nampongeza kwa upole wake, comment za ajabu anazipotezea
 
Hivi watu mnakuwaje?
Kuna wakati wazazi kuachana ni ukombozi kwa watoto.

Ni bora watoto kulelewa na mzazi mmoja kuliko kushuhudia wazazi wakigombana kila siku wakitukanana. Hiyo inawaathiri watoto kuliko kulelewa na mzazi mmoja.
Upo sahihi ,kama maridhiano yakikosekana Bora kuachana japo either way matokeo kwa watoto ni mabaya hasa kama watoto wanajitambua
 
Mumeo anakupenda sana ndo maana kawaacha Mchepuko na kukuoa wewe.

Mkuu huyo mwanaume hampendi huyu dada na kuoa isiwe kigezo cha upendo...

Sababu kubwa huyo jamaa kamuoa huyu dada, ni kwamba AMESITIRIKA kutokana na udhaifu alionao...

Hana tofauti na wale wanaume wanaopigwa mbupu, lakini bafo wana wake na watoto, nao pia sababu yao kubwa ya kuoa huwa ni kusitiri siri na udhaifu wao...
 
Hao watoto umezaa nae yeye ndiye Baba wa kibaolojia?

Kumbe Mwanaume anaweza kuwa hasimamishi lakini akaweza kuzalisha kutoa sperms?
 
Inawezekena na yeye Hana hisia na wewe


Mwambie aache kuangalia porn na punyeto...vyakula ni part ndogo sana ya tatizo..

Halafu huko nje usidhan ana performance mbovu

Wanaume wengi sijui kutokana na makwazo na mazoea uwaga Wana under perform ndani wana over perform nje...

Unakuta mke anakukwaza kwazA mda wote,hisia zinashuka,mke yupo yupo tuna km dada hisia zinashuka,mke Hana hisia anakuambukiza,mke ana tumia sex km fimbo hisia zinashuka .

Huyo wako ni chaputa muangalia porn sasa kwako wewe sababu ame underperform mda mrefu basi ana performance anxiety ila akienda kwingine anafanya vizuri zaidi ya kwako atleast.

Na ukweli mchungu ni kwamba ili apone hilo tatizo sharti awe malaya hivyo hivyo ILa tu na nyumbani napo agonge asipaache hivi hivi ile confidence ya kuperform vzr nje ahamishie nyumbani,kosa lake ni kuogopa mechi za nyumbani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…