Nifanyeje sina hisia nae kabisa

Nifanyeje sina hisia nae kabisa

crushed kuna aliekushauri kujikita sana katika maombi. Kiukweli na mimi nasupport kama mdau wa wanawake kusimama katika imani. Sina experience sana kwenye hii sector lakin kwa machache ninayoyajua.. you need peace right now. Kweli umeshasacrifice sana kwa ajili ya mume wako na too bad inataka kukurudi vibaya. The time, efforts, love involved inakuumiza sana. Hasa kama wewe unasimama katika nafasi yako.

Neno la Mungu linasema "kila jaribu lina mlango wa kutokea (1 Kor 10:13)." Haya mambo sometimes yanatutokea ili kupimwa namna tunavyoweza kusimama na kumuamini Mungu. Your Faith is being tested. Ninachoweza kukushauri...Kwanza omba Mungu amuondoe mumeo moyoni mwako. And mnyang'anye mmeo moyo wako. Its a very hard statement lakin sina namna ya kuandika. Mungu kasema tumpende kwa Moyo, Roho, Akili na Nguvu zetu zote. Ni muda mzuri umepata wa kuwa addicted to God. Lets be addicted to seeking the Kingdom of God. Simaanishi umuignore ama umdharau. Utakuwa humpendi Mungu. Namaanisha tuanze sasa kusoma scriptures kama machizi. Umepata a very great time ya kutengeneza uhusiano binafsi na Mungu.

Usimuangalie mjamaa maana hutaweza kusimama. Afu pia tafuta foundations ambazo huwa zinapenda kutoa misaada. Charity groups labda. Jiunge nazo. Weekends kama huna ratiba kazini ama vikoba unashughulikia nyumba yako. Unawapikia watu chakula kizuri. Unakuwa busy inshort. Ndo unajikita katika utoaji mara kwa mara. Ukienda kutembelea hospitals, yatima, wazee, wajane sikufichi akili yako itahama kabisa kwa huyu anaekutatiza. Maana hata yeye ni shetani anampepeta. Hate the devil behind him do not hate him. Maana shetani anapenda kuiba, kuharibu na kuchinja. Lakin nakuamin unaweza kusimama na kuomba kupambana nae.

Wanaowindwa si wewe wala mumeo, wanaowindwa ni uzao wako uishi maisha ya mara leo kwa baba mara kwa mama. Inatengenezaga bad psychology ni basi tu sometimes wengne inawabidi. Adui anataka kukupokonya nafasi ya mke na ni wajibu wako kukataa. Ombea nafasi yako kama mke..tena nakupa tip..jifunze kuamka saa tisa usiku kuomba. Maombi ya usiku yana nguvu sana. Ask the Holy Spirit akusaidie maana we mwenyewe hutaweza. Lakin nikutie moyo kwamba Ndoa yako inapona kabisa..wala haina shida iyo. Ni shetani anataka kucloud your judgement ili uamue kwa hisia. You are a strong woman..najua unaweza kusimama na kumpiga huyo bata!
Asante sana
 
Hili suala ntaliongea kwa upande wangu,
ili upate picha kamili nn namaanisha.

Kama umenifatilia, Nmeoa na na Mchepuko nje anaitwa mamaJ.

Kabla sijakutana nae nilikua nafanya kawaida TU Kama wengine, ila baada ya kuanza kuchepuka nae, nowdays naweza kufanya nae for hours bila ttzo lolote. Na imekua normal.

Ila nikiwa kwa wife au mwanamke mwingine, ile Nguvu inakosa kwasababu Hawa wengine hawawez au hawajui Cha kunifanyia ili niweze kulast for hours bila kuchoka.

Wengine huwa nawaambia wanapuuza,
Wengine ujeuri TU hawataki kunifanyia,
Wengine maumbile yao hayaruhusu kunifanyia vile, nawapotezea maana siwez kukosoa uumbaji wa MUNGU.

Tukija kwa wife,
Utaratibu Ni ule ule niloelezea hapo juu,
japo sio vizur sn kumlinganisha wife na Mchepuko (niwie radhi),ila moyoni najua kabisa wife wangu mamaG kazidiwa ufundi kitandani na Mchepuko wangu mamaJ.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sio vizuri kumringanisha mke na mchepuko ila hamna jinsi mzee baba. Hawa wanawake tunaoa wanajisahau sana, mm kuna kipindi mke wangu alishika mimba hakutaka nimguse mpaka alivyojifungua na miezi almost mitatu mbele ndio nikagusa tena.

Nashukuru Mungu aliumba wanawake wengi kweli na akanipa vijisenti vya kuwahonga ili wanipe mbususu, kwaiyo niliendelea na ka utaratibu ka kibaolojia, na hata saizi hanaga kupenda mipapulano namm labda kama kuna kidume au vidume vinanisaidia ila namm nashukuru kweli kuendelea kupata ela za kuchakata hizi mbususu nyingine kwa raha mustarehe.
 
Wanaume wenye ka gegedo kalegevu hawavaagi condom so anavyochepuka ukimwi utakuhusu........kama wewe huchepuki omba talaka' ,kama unachepuka vumilia
Sasa kagegedo kalegevu katapataje ngoma na hakachubuki?
Halafu kama anachepuka avumilie, kama hachepuki aombe talaka, what's the essence here?
 
Inawezekana kwako yeye havutiwi nawe na huko anakochepuka anapiga bao za kutosha.Ombi langu muwe na muda wa kutoka hata week moja hivi mwende hata mbuga za wanyama mkapumzike na kupata muda mzuri wa kutafakari namna bora ya kuboresha mahusiano yenu.
Kwa hichi hichi kipato cha laki tano waende mbuga za wanyama mkuu? Labda washauri wabadirishe godoro wawe weekend wanaenda lodge hata ya 30k
 
Asimamishi zaidi ya dakika 5 na mmepata watoto! Anachepuka, bado unamuhitaji (unamuonea wivu).
Hapa ni pagumu kukuamini usemacho..
 
Hakuna wanaume malaya kama wenye matatizo ya nguvu za kiume na wenye vibamia. Sijui wanakuwa na shida gani.

Labda kisaikolojia anakuwa anajipa moyo kwamba kuwa na wanawake wengi kunamfanya aonekane kidume, na huko nguvu ya pesa huwa inatumika sana kuliko tendo.

Mwisho wa siku mnawaaibisha wake zenu hapo mtaani kwa vibamia vyenu halafu dk 2 chali.

Dada kinachomuumiza sio ukosefu wa nguvu za kiume wa mume wake alishakubaliana na hali akamchukulia mwenzie kama alivyo( wanawake wengi huwa wanajitoa muhanga kisa kupenda) kinachokera ni umalaya wake tena mtaani kabisa.
Kutembea na mwanamke wa mtaan ni fedhea kubw sn kwake,mkewe na familia yake
 
Sio vizuri kumringanisha mke na mchepuko ila hamna jinsi mzee baba. Hawa wanawake tunaoa wanajisahau sana, mm kuna kipindi mke wangu alishika mimba hakutaka nimguse mpaka alivyojifungua na miezi almost mitatu mbele ndio nikagusa tena.

Nashukuru Mungu aliumba wanawake wengi kweli na akanipa vijisenti vya kuwahonga ili wanipe mbususu, kwaiyo niliendelea na ka utaratibu ka kibaolojia, na hata saizi hanaga kupenda mipapulano namm labda kama kuna kidume au vidume vinanisaidia ila namm nashukuru kweli kuendelea kupata ela za kuchakata hizi mbususu nyingine kwa raha mustarehe.
Sahii kabisa, sometimes unalazimika kuchepuka kuepusha migogoro kwny ndoa. Imagine bila mchepuko Kila siku kesi za kunyimwa unyumba na kumbaka mkeo zingekua ngapi[emoji4]
 
Habari wakuu,

Leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.

Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k

Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.

Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.

Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana?

Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.

Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.

DeepPond wewe unaonaje. Tuseme huyu ni dada yako wa damu Unamshaurije 🤔🤔🤔🤔


Mkuu Juandeglo na mama D naombeni mje mumshauri mwanamke mwenzenu uku[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app


Haya mambo nyie yaacheni tuu

Unaweza kuta huko anakochepukia anapiga mzigo masaa2 bila kusinyaa

Mungu akusaidie sana crushed kwa ustawi watoto wako na familia usifanye maamuzi ya hasira. Mwombe Mungu akuonyeshe yale yasiyoonekana na macho ya nyama
 
Habari wakuu,

Leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.

Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k

Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.

Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.

Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana?

Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.

Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.

Kama unajiamini unaweza ishi bila kuitaji mwanaume mwingine, muache lao, lakini kama utaitaji mwanaume tena na hao watoto bora uishi naye.

Si jambo jepesi kabisa kwa single mothers ku manage, wanaweza wasikuambia, na pia kama wewe unayosema ni kweli, sioni namna huyo mume wako atabadilika.

Jaribu pia kuomba Mungu, it sometimes sounds like an old school, but mwombe Mungu hekima kwa maneno mepesi kabisa.
 
Dada kwanza pole sana. Nikwambie kama.anachepuka sana basi mwanaume wako hata tatizo la nguvu za kiume, ni mzima kabida ila yeye ndo hana hisia na wewe.
Hii kitu inatokeaga kwa wanawake hasa wake zetu.
 
Kutembea na mwanamke wa mtaan ni fedhea kubw sn kwake,mkewe na familia yake
Ni fedheha kubwa sana yaani anaiacha familia yake uchi. Na wanawake wa mitaani wasivyo na siri watakuwa wanamsema sana dada wa wa watu kwa ujinga wa mume.

Ila nimeamini JF bado kuna watoto wengi sana kiumri au eidha umri mkubwa lakini akili ndogo. Mtu mzima kabisa anauliza "kama anaenda dakika 5 hao watoto wawili umewapataje??

Serious kabisa kwani inahitaji dakika ngapi ili mimba itunge? Kisayansi hata yale majimaji ya uume kabla ya kumwaga yanatosha kabisa kutungisha mimba.

Mimba inatungwa hata kama mmesex kwa dakika moja akamwaga as long as shahawa zake zina nguvu ya kutungisha.Haihitajiki nusu saa au dk 45 kutungisha mimba hata sekunde 30 inatosha kabisa.

Watu tungejikita kujifunza mambo mbalimbali instead of umbea, matusi na mapambio humu JF tungekuwa mbali sana. Ndio maana tunaitwa vijana wa hovyo.
 
Kwa jinsi ulivyoandika hapo huyo huna hisia nae kwa Sababu ya uchepukaji wake na so Sababu ya kutosimamisha kwake!Hakika wewe Ni make wa baraka miaka sita na huyo asiyesimamisha mwingine angeshaupiga mwingi Sana huko nje
 
Wanawake hamjaubiwa kuchepuka, hayo ndo madhara yake. Mkichepuka huwa mnazama mazima na uliyekuwa naye huwezi kumpenda tena.

Shida zote ulizoandika kuhusu mmeo ni za uongo. Hapa unafanya justification ya kumbwaga mmeo.

Maamuzi tiyari unayo kichwani mwako sisi hatuna cha kukushauri. Kuwa single mother.
 
Habari wakuu,

Leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.

Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k

Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.

Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.

Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana?

Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.

Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Muombee tu mungu abadilike hiyo tabia kama still bado unampenda lakin kama humpend mmh...!!
 
Wanaume wasokua na nguvu za kiume wanaongoza kuchepuka ..wanaona ndo kuonekana kidume kumbe angezitunza hizo nguvu zake mbili amridhishe mkewe
 
Back
Top Bottom