fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,809
- 8,032
Kipato hakiruhusu mambo ya likizo mkuuInabidi utafute likizo mtoke nje ya mji mkapumzike wawili na mumeo hata wiki moja na umwambie hali unayojisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipato hakiruhusu mambo ya likizo mkuuInabidi utafute likizo mtoke nje ya mji mkapumzike wawili na mumeo hata wiki moja na umwambie hali unayojisikia
Asante sana kwa ushauri, nitafanya hvyoInavyoonekana wewe ni mcha Mungu, na upendo wako wa kwanza kwake haukuwa na mawaa kwanini nasema hivi?. Ni kwa sababu upendo wa kweli huvumilia yote, hauhesabu mabaya husamehe, haujivuni wala kutakabali. Sasa maadamu ulimkubali alivyo tangu mwanzo regardless ya madhaifu yake yote, na wala haupo tayari kumwasi Mungu na kumkosea heshima mumeo basi usiache kumpenda kama awali, usiyahesabu mabaya yake bali omba Mungu akusaidie kumbadilisha, pray very hard. Mungu hajawahi kushindwa jambo lolote. Mpende Mungu, penda Mumeo na penda familia yako.
Likizo tunawezaenda sababu wote tuna vipato tunaweza kujipanga tukapata likizoKipato hakiruhusu mambo ya likizo mkuu
Likizo tunawezaenda sababu wote tuna vipato tunaweza kujipanga tukapata likizo
Sawa lakini umesema hilo tatizo umemkuta nalo tangu mkiwa wachumba which means ulikubaliana udhaifu wake na ukawa tayari kuuvumilia mpaka kifo, sasa inakuaje Sasa hivi unageuka?? Kwanini sasa hivi unaongelea mambo ya kiridhishwa wakati hilo sio geni kwako na umeweza kukaa naye kwa miaka 6 ya ndoa jumlisha na ya uchumba ambayo haujataja idadi yake?Alianza kusimamisha na tunafanya at least dakika tano anamwaga, sijawahi hata kuchepuka tokea nimjue, watoto wote ni wake maana hata wa kike kafanana nae achana na wale wa kiume maana wao ndo copy yake kabisa
Ana miaka 39Jamaa yuko kwenye rika gani kwanza kabla hatujakushauri?
Haswaa, yaan hiki ndo kinaniumizaHakuna wanaume malaya kama wenye matatizo ya nguvu za kiume na wenye vibamia. Sijui wanakuwa na shida gani.
Labda kisaikolojia anakuwa anajipa moyo kwamba kuwa na wanawakw wengi kunamfanya aonekane kidume, na huko nguvu ya pesa huwa inatumika sana kuliko tendo.
Mwisho wa siku mnawaaibisha wake zenu hapo mtaani kwa vibamia vyenu halafu dk 2 chali.
Dada kinachomuumiza sio ukosefu wa nguvu za kiume wa mume wake alishakubaliana na hali akamchukulia mwenzie kama alivyo( wanawake wengi huwa wanajitoa muhanga kisa kupenda) kinachokera ni umalaya wake tena mtaani kabisa.
Inawezekana kwako yeye havutiwi nawe na huko anakochepuka anapiga bao za kutosha.Ombi langu muwe na muda wa kutoka hata week moja hivi mwende hata mbuga za wanyama mkapumzike na kupata muda mzuri wa kutafakari namna bora ya kuboresha mahusiano yenu.Itakua humvutii kimahaba
Kwa watu wachache niliowaona...huyu hata akienda nae mbali kwa sabbu bado anampenda mume wake atatamani kurudi tu. Its a matter of time.Acha kushiriki nae tendo atakuletea magonjwa ya zinaa huyo ujute zaidi,
Kazana kuomba uhamisho hadi uupate kukaa nae mbali kutakupa wewe Amani ya Moyo na huenda na yeye akajirekebisha akikukosa.
Ana miaka 39
Wewe katili sana unamvunja moyo kabisa mwanamke mwenzako.Nakazia.
Na pia alikuwa hampendi mtoa mada na hakuwa na hisia naye kabisa maana mtoa mada alikuwa hamvutii.
Ila kwa vile mtoa mada alionesha uvumilivu ndio jamaa akaanza kama kumwelewa mwelewa akawa anasimamisha japo dakika tatu.
Mwambie hao michepuko zake awafanye wawe wake wadogo harali wanaotambulika kisheriaSijaichoka mkuu, ndo maana natafuta namna ya kuweza kumpenda tena ili niishi na mpendwa wangu
Angatulizana tu na aache kuhangaika huko, kama kweli jamaa ana matatizo aanze kumtibia kwa chakula na mazoezi. Mlo pekee hautoshi afanye mazoezi ya kuimarisha mishipa ya uume. Kama anataka asitoke basi atumie ujuzi kama mwanamkeSahii kabisa Mumewe Ni nyege TU,
Angekua hampendi angemtimua na kuoa Michepuko. Jamaa anafata nyege TU nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wee shida yako ni nini, kwamba hakupi penzi murua na kukusugua vzr au kisa ni mchepukaji?Habari wakuu,
Leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.
Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k
Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.
Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.
Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana?
Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.
Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Ndoa na upendo ni vitu viwili tofautii...Kuna watu hawaielewi hii falsafa yaanWewe nawe sijui umekuja mjini lini. Hivi unadhani kila mtu ameoa na kuolewa na watu wanaowapenda?
Kwahiyo kulala chumba kimoja na kuzaa na mtu ndio kumpenda mtu? OK, kama anampenda kweli kwanini alikuwa hasimamishi?[emoj
Nnachokiona kwa mumeo,
Sio kwamba ana tatizo la nguvu za kiume
Mumeo Yuko fit, coz anaweza kukitembeza nje
Sema mazingira yako wewe mkewe huenda hayako vizur sn kumhamasisha kulipenda na kufurahia lile tendo.
Tukubaliane tukatae,
Wanawake mmetofautiana Sana uwezo kitandani, na huu ndo ukweli KE wengi hawataki kuambiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la ushauri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushauri usiokuwa na chembe ya unafki. Tafta Mwana humu kwa makubaliano flani, akunjunje, maana Ukwasu kwa miaka6 sio mchezo utadata, tafta mtu akupe unachotaka umwage mpaka Ubongobalafu rudi katulie na mmeo. Sikutumi ukaziniwe, ila kwa maelezo yako unatamani upate mtu akupige mashine kisawa sawa sababu umesema hutaki kumwacha mpendwa wako..cheat japo mara moja, ila usibet Tafta mtu mwenye Afya zake. Mkaziniane kisha ukatulie ulee familia