Yeye anataka kunjunjwa kwani umesikia amesema hana furaha na watoto, anachotaka jamaa nguvu za kunjunja asipeleke nje awe anamjunja yeye tu kwa mwezi mara 30Jifunze kuwa na furaha yako mwenyewe na tena una watoto hamishia nguvu huko kwa watoto, na yeye mwache apambanie furaha yake huko kwa michepuko yake
Kwa Maelezo yako navyoona yeye ndiyo hana hisia na wewe na alishajua hilo ndiyo maana anachepuka ,kagundua akiwa na wewe "Mashine" haisimami ila akienda nje "Mandonga Mtu kazi Show Show".Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.
Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Kakosea tu kuandika sio kwamba hana hisia nae Ila anataka awe anamjunja 24/7 sasa hajui anafanyaje anahitaji mtu anaejua mbinu, mstari wa mwisho ndio umetoa summary ya paragraph nzima kwamba jamaa hapigi Mambo hadi bidada aombe na anapigwa kamoja tuUkishapoteza hisia na mtu maana yake humpendi wala huwezi kuwa na huruma naye tena. Hata akifa leo utafanya msiba kama sherehe.
Wakojozaji wapoKakosea tu kuandika sio kwamba hana hisia nae Ila anataka awe anamjunja 24/7 sasa hajui anafanyaje anahitaji mtu anaejua mbinu, mstari wa mwisho ndio umetoa summary ya paragraph nzima kwamba jamaa hapigi Mambo hadi bidada aombe na anapigwa kamoja tu
Sasa yeye anataka apigwe 8 9 hadi 10 anashangaa mashoga zake wanamsimulia wao wanapigwa round 3 4 mpaka 5 yeye anapigwa round moja tu, hicho ndio kinamuuma hamwagi maji akipigwa kimoja basi itamlazimu kujimaliza mwenyewe maana anakua hajafika popote
Anaasema watamchafua, 😆 eti imani anaogopa kuchafuka na huku anataka kukamuliwaWakojozaji wapo
Anaasema watamchafua, 😆 eti imani anaogopa kuchafuka na huku anataka kukamuliwa
Dada una moyo mzuri kweli we ni mvumilivu naomba Mungu akusaidie 🥰🥰🥰Sijaichoka mkuu, ndo maana natafuta namna ya kuweza kumpenda tena ili niishi na mpendwa wangu
Hongera sana ,wanawake wote wangekuwa kama wewe ,tusingesikia mambo ya magunia ya mkaa wala risasi 7.Hili nimeshindwa kabisa, kwanza maadili yananizuia kufanya hvyo lakini pia hata mimi naona kero kabisa kuchepuka naona najichafua
Dada una moyo mzuri kweli we ni mvumilivu naomba Mungu akusaidie 🥰🥰🥰
Kuna mwanamke ukiwa nae mashine inakosa hamu alafu kuna mwanamke ukiwa nae kila wakati unataka uwe unamtia tu so emu jaribu kutofauti yeye yupo kwenye kundi lipi?Aisee ana moyo wa kipekee ,inabidi ajengewe sanamu ,wanawake wachache sana wenye akili kama zake.
Mwingine mme wake akiwa na matatizo kama hayo ,yeye ndiyo anatumia mwanya huo kukitembeza na ukimuuliza anaweza akaita ukoo mzima kukaa kikao na kukuumbua kwamba "Kitu nei nei - mtalimbo doro".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo sitii neno ni pagumu
Aliolewa kwa kumwonea huruma[emoji1787]Alikuwa hasimamishi bado ukaolewa nae na saa hii unatuletea malalamiko.
Wacha mambo ya kiwaki
Aliolewa sababu anaempenda amjunje alitegemea hali itatengemaa huko mbele jamaa ataanza kufunga mabao mengi,Aliolewa kwa kumwonea huruma[emoji1787]
Nakazia.Huyo hana shida ya nguvu za kiume ni mchepukaji,kwahiyo akirudi nyumbani anakuwa hana nguvu tena,atawezaje kuwa mchepukaji na hana nguvu za kiume...?
💯Ukishapoteza hisia na mtu maana yake humpendi wala huwezi kuwa na huruma naye tena. Hata akifa leo utafanya msiba kama sherehe.
Sioni kama linarekebika maana mwanaume anapenda umalaya na hataki kuacha. Na hio ndio kero kubwa kwako.
Mmeanza kumjaza ujinga sasa angekua hampendi angekua analala nae chumba kimoja angekua hampendi angezaa nae watoto angekua hampendi angehudumia familia angekua hampendi angeweza kurudi kwake?Nakazia.
Na pia alikuwa hampendi mtoa mada na hakuwa na hisia naye kabisa maana mtoa mada alikuwa hamvutii.
Ila kwa vile mtoa mada alionesha uvumilivu ndio jamaa akaanza kama kumwelewa mwelewa akawa anasimamisha japo dakika tatu.
Hivi watu mnakuwaje?Kwa umri wa kuanzia 30 na kuendelea tunatakiwa kuwaza zaidi kuhusu watoto na Sio sisi. Imagine watoto walelewe na mzazi mmoja .....hapana usifanye maamuzi yoyote yale yatakayoumiza watoto.