Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Mkuu kibongobongo kumpeleka mtoto mapema shule bado ni ukatili kwa sababu shule zetu zinawarundikia watoto masomo ambayo hayakuzi il curiosiry yake.


Kwa wenzetu watoto shuleni kuna mazingira rafiki ya kujifunza kwa vitendo na bla bla haziwi kama hapa bongo.

Kwa bongo ni bora mtoto awe anacheza nyumbani na kushiriki michezo mbalimbali ya kumjenga akili mpaka afike hiyo mjaka 6 ndio aende shule,kuliko kumpeleka shule na miaka mi3 yaani shuleni ataenda kudumazwa akili.
 
Nakushukuru kwa kunirekebisha,Ubarikiwe sana mkuu.

Mkuu mimi sina mentality hiyo na sipo hapa kubishana bali nipo katika mjadala ambao natarajia kujifunza vitu kama hapo ambapo umenirekebisha ndio kujifunza kwenyewe.

HIvyo kama upo na mentality ya kubishana sidhani kama kwangu utatoboa maana mimi huwa siandikagi porojo na wanaobishana huwa wakiona porojo ndio wanapata cha kuandika na wanapsta chs kujibu kwa sababu hizo porojo ndio wanazo nyingi na ndio zimewajaa vichwani mwao

kwako wewe lazima uelezee kipaji ni nini ili mwisho wa siku tusitofautiane pale ambapo nitakataa ama kukubsli kuhusu riadha kuwa kipaji ama laa.

kipaji ni nini kwako wewe ?


MKuu huu sio ugomvi bali huu ni mjadala,usitumie udikteta kuninyamazisha kwenye mjadala huru kama huu.

NDio maana sijakutusi wala kukuvunjia heshim yako japokuwa najua kuna neno upumbavu😀😀.

Unatakiwa ujibu hoja ambazo nimeziweka ili mjadala uende vyema na sio kunitisha mkuu,haitosaidia lolote.

Binafsi naamini kam una hoja utajibu,otherwise utasndika hsys haya ambayo uliyaandika hapo juu
Nashukuru Kwa kuwa umekiri kuwa tayari kujifunza. Mimi pia nimejifunza mambo kadhaa toka kwako.
Hata ivo, Bado naona Kuna asilimia zaidi ya hamsini ya akili Kiya akili za darasani kuwa genetically inherited.
K1. Nimeshuhudia watoto wawili waliozaliwa nje ya ndoa na baba msomi aliebobea mambo ya uchumi , kipindi hicho akiitumikia serikali kama mkurugenzi wa maendeleo ya mikoa Fulani nchini, . Hawa walikulia kijijini Kwa nbibi yao, mazingira yalikuwa duni sana. Malazi yalikuwa duni kiasi Cha wao kulala chini bila vitandikio vinavyoeleweka na pia nyumbani kwao palikiwa panapikwa pombe ya kienyeji na inanywewa hapo nyumbani. Bado Hawa jamaa walikuwa bipanga kuanzia shule ya msingi Hadi university of Dar es Salaam.
2. Mifano uliyoitoa inataja watoto waliokuwa vipanga wakafaulu katika mazingira magumu.
Hoja kwamba wazazi wao hawakusoma zaidi ya la Saba haliwezi kuthibotisha kwamba wazazi walikuwa vilaza.
Hapa twaona wazazi wao walikosa TU fursa ya elimu, vinginevyo wao pia wangekuwa vipanga.
.
 
Mkuu kibongobongo kumpeleka mtoto mapema shule bado ni ukatili kwa sababu shule zetu zinawarundikia watoto masomo ambayo hayakuzi il curiosiry yake.


Kwa wenzetu watoto shuleni kuna mazingira rafiki ya kujifunza kwa vitendo na bla bla haziwi kama hapa bongo.

Kwa bongo ni bora mtoto awe anacheza nyumbani na kushiriki michezo mbalimbali ya kumjenga akili mpaka afike hiyo mjaka 6 ndio aende shule,kuliko kumpeleka shule na miaka mi3 yaani shuleni ataenda kudumazwa akili.
Tanzania mtaala ni cyclic. Mambo ni yaleyale tu. Mtoto wa sec anarudia yale ya msingi. Huko shule wanacheza sana tu.
Mbona unawapeleka elimu awali au ile sio shule.
Nimekwambia kuna umri wa akili na mwili.
Waafrika hawataki kutumia elimu waliosomea. Mtoto nimempeleka elimu awali kamu du kusoma sasa kwa nini nisimuanzishe drs la kwanza? Mtoto wako hata kama ana miaka 10 kama hajui kusoma hafai kuanza drs la kwanza.
Endeleeni hivyo hivyo kufuata mazoea .
 
Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi :AmberDollDance:
Daah hii sio kweli bhana % kubwa ya Wasomi wengi wazazi wao wamepata tabu ya kuwatafutia Ada wengine kwa pombe za kienyeji hata madaftari hawayajui ila watoto wao ndio walipasua sana mitihani...
 
Hoja kwamba wazazi wao hawakusoma zaidi ya la Saba haliwezi kuthibotisha kwamba wazazi walikuwa vilaza.
Mkuu unadhani kwa nini kutokusoma kwa wazazi sio hoja ya kuthibitisha ukilaza wa wazazi ?

Je wazazi ambao hawakuenda shule unawapima vipi kama wana akili ambayo pengine wangeenda shule wangekuwa vipanga ?

Hapa twaona wazazi wao walikosa TU fursa ya elimu, vinginevyo wao pia wangekuwa vipanga.
So mkuu unatumia kipimo gani kujua mzazi mwenye akili ambaye hakupita shule ?
 
Huko shule wanacheza sana tu.
Shida iko hapa mkuu,kutafsiri neno kucheza.

Kuna michezo ama matendo ambayo mtoto akiyafanya yanaikuza kwa haraka akili yake.

kuna yale matendo ya nyumbani ambayo mtoto akishiriki yanamkuza vizuri zaidi ubongo wake.

Sio kukimbizana tu shuleni na kuruka kwenye madawati ukadhani ndio akili itakuwa sharp kwa hiyo mixhezo hapana.
 
nakujibu kikulima

'ubora wa mazao hutegemeana na ubora wa mbegu iliyopandwa. suala la matunzo ya shamba ni sifa za ziada tu'
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Isaya 55:13. Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA. Na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. Sema na Mungu juu ya fahamu na akili za watoto wako. Shetani siku zote yupo kwa ajili ulya kuharibu. Wakala wa shetani(mapepo ya kichawi) yanatumika sana kuteka na kuwafunga watoto wetu fahamu na akili zao. Omba kwa Imani kwa Jina la Yesu na watoto watafunguliwa na Kila mmoja atakuwa kichwa na Wala sio mkia darasani. Amen
 
Kuna mahala nilipata kusikia et,,pure juice ya matunda tufaa (apple) husaidia sana ukuaji na uimarikaji wa akili (ubongo) kwa mtoto hasa akianza itumia katika hatua za mapema za ukuaji wake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Waanze kufanya mazoezi yanayo jenga uwezo wa kumbu kumbu na utambuzi wa mambo kuliko kawaida.
MEDITATION.

Ni njia bora zaidi kuliko dawa zozote zil, kuna baadhi ya dawa za mimea naweza kukusaidia nazikawa ninafuu katika kukuza ufahamu lakini yote na yote hiyo hapo juu nilioisema ndio mama yao kwani haihitaji hata gharama labda useme umtafute mwalimu, vinginevyo hakuna gharama ni mazoezi binafsi yaku control pumzi na fikra zinazo ingia s. Nihitimishe kusema meditation sio jambo la kawaida ikiwa unataka watoto wawe Genius masomoni wafanye mazoezi hayo kwa ustadi unaotakiwa.
Hii nadhani ni kwa watu wote. Sema ni namna gani ya hayo mazoezi mtu kuyafahamu na kuyafanyia mazoezi.
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Hujataja watoto wako wana umri wa miaka mingapi?Utawezaje kusaidiwa?
 
Waanze kufanya mazoezi yanayo jenga uwezo wa kumbu kumbu na utambuzi wa mambo kuliko kawaida.
MEDITATION.

Ni njia bora zaidi kuliko dawa zozote zil, kuna baadhi ya dawa za mimea naweza kukusaidia nazikawa ninafuu katika kukuza ufahamu lakini yote na yote hiyo hapo juu nilioisema ndio mama yao kwani haihitaji hata gharama labda useme umtafute mwalimu, vinginevyo hakuna gharama ni mazoezi binafsi yaku control pumzi na fikra zinazo ingia s. Nihitimishe kusema meditation sio jambo la kawaida ikiwa unataka watoto wawe Genius masomoni wafanye mazoezi hayo kwa ustadi unaotakiwa.
Hii nadhani sio kwa
Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.

Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
duh hii nadhani ni utwezaji kwa wala ugali. Hawa vipanga wote tunaowajua mbona walaji wa ugali toka watoto.
 
Mkuu unadhani kwa nini kutokusoma kwa wazazi sio hoja ya kuthibitisha ukilaza wa wazazi ?

Je wazazi ambao hawakuenda shule unawapima vipi kama wana akili ambayo pengine wangeenda shule wangekuwa vipanga ?


So mkuu unatumia kipimo gani kujua mzazi mwenye akili ambaye h
Mkuu ahsante Kwa maswali mazuri.
NHakuna kipimo Cha kuthibotisha kwamba mzazi asiesoma angekuwa kipanga iwapo angepata nafasi, kadhalika hakuna kipimo kuthibotisha kwamba mzazi hiyo angekuwa kilaza
.
Aghalabu watoto wake wakiwa vipanga , tunaona jinsi mzazi huyu ambaye hakusoma anavyotumia akili yake ku - mobilize ukipanga wa watoto wake.
akupita shule ?kuu
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
mkuu pole kwanza kwa safari nzuri ya malezi ila kuna mambo unatakiwa uzi gatia kabla na baada ya kupata mtoto..
tuanze na kabla hujapata mtoto mtindo wa maisha matumizi ya vileo kula na pumziko je vilikua vinawiana huwezi toka kulewa ukaweka mzigo utarajie mtoto atatoka kichwa ni kwa bahati sana ila wengi huwa kawaida tu kupata D na F hawashangai....

lishe bora mtindo sahihi wa maisha na muda wa kuupumzisha mwili vinamchango mkubwa kwenye kujenga mbegu bora zitakazoweza kukupa mtoto safi upstairs.

baada ya kupata mtoto hapa ndipo balaaa lilipo je ulimzingatia lishe sahihi toka akiwa mtoto au uliwasikiliza manesi wale wa kusema mtoto anyonye maziwa ya mama tu mpka miezi 6..... unajiuliza kwani mama ni muathirika? kawaida hata mimi mwanangu akishobokea chakula hata akiwa na miezi miwili analamba mtori laini michuzi na sijawahi pata usumbufu wa kuumwa lwala nini, hivyo chakula ni tiba kubwa sana toka akiwa mfogo asikose supu za samaki mafuta ya samaki vitamin c asizikose kwenye machungwa na vitu kama hivyo ale vitunguu maboga na mimea ya kunde na nyama pia zisimpige chenga tafuta nyama nzuri chemsha blendi supu na nyama mpe ale.
uji wa mtoto uwe wa nafaka changanya kila kitu mchele mtama ulezi soya yaani pata mchanganyiko wenye virutubisho kama vyote usibane pesa.

kiufupi mkuu watoto wanarithi akili kwa wazazi ila kuna mazingira ukiyaweka yanawaboost akili zao zilizolala

ukiona umefuata yote hayo kwa usahihi na toto bado zezeta basi pole sana asee utakua umecheza nafasi yako sasa mchunguze mama malezi yake yakoje maana mtoto akiwa na mama mjinga lazima naye awe mjinga
 
Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.

Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
mkuu tumekula ugali toka utoto wetu labda useme kuwe na ratiba nzuri ya lishe ugali usirudiwe sana kama ilivyo kwa chips wali vibadilishwe isiwe mfululizo
 
Hivi huko Japani mtu anakuwa na MASTER at 21yrs old anakuwa alianza shule na muaka mingapi?
Mental age vs body/physical age sio kazima viwe sawa. Saikolojia inasema mtoto anaanza kujifunza akiwa tumboni na mara anapozaliwa. Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Ukimchelewesha mtoto shule unru wa akili utakuwa chini kwa saba u ataishi ktk peer group na atachelewa mambo mengi mbeleni. Shuleni watoto wanapata mda mwingi wa kucheza.
Myoto wa 3 ana 5yrs old amekuwa wa 14. kati ya 60. I do plan kumpa program za kisasa za sakujifunza.
Naamini watoto wangu watakuwa na mda wa kujifunza mambo mengi na ku injoy maisha ktk umri mdogo.

Hakuna tofauti ndogo bali wote ni exceptional kwa mujibu wa saikolojia.
Mental returded ni exceptional,
Genius nae ni exceptional.
Mmoja +ve na mwingine -ve. From normal.
Akili unaenda nazo shuleni mkuu, akili hazipatikani shuleni, itachukua miaka 100 wabongo kuelewa hili
 
Hivi huko Japani mtu anakuwa na MASTER at 21yrs old anakuwa alianza shule na muaka mingapi?
Mental age vs body/physical age sio kazima viwe sawa. Saikolojia inasema mtoto anaanza kujifunza akiwa tumboni na mara anapozaliwa. Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Ukimchelewesha mtoto shule unru wa akili utakuwa chini kwa saba u ataishi ktk peer group na atachelewa mambo mengi mbeleni. Shuleni watoto wanapata mda mwingi wa kucheza.
Myoto wa 3 ana 5yrs old amekuwa wa 14. kati ya 60. I do plan kumpa program za kisasa za sakujifunza.
Naamini watoto wangu watakuwa na mda wa kujifunza mambo mengi na ku injoy maisha ktk umri mdogo.

Hakuna tofauti ndogo bali wote ni exceptional kwa mujibu wa saikolojia.
Mental returded ni exceptional,
Genius nae ni exceptional.
Mmoja +ve na mwingine -ve. From normal.
Mental retarded person na mental ill prson hawa ni watu wawili tofauti.

Mental illness and mental retardation are completely two different terms and with two different concepts in them and cannot be used interchangeably.
1 Mental illness can be caused by number of causes like genetic causes, environmental causes and chemical imbalances in the brain. While mental retardation in the imbalance in normal development of the brain in an individual by which it can be categorized into mild Estimates of the prevalence of comorbidity of psychiatric disorders.

2.Mental illness can be described when behaviour of individuals is inappropriate, irrational, or unrealistic in most physical, or in mental illness the person’s behaviour is not normal. Mental disorder can be caused by physical, psychological or environmental factors, or a com- bination of all three. While mental illness is not level of intelligence, it is possible for a person to be both mentally ill and retarded
 
Mkuu nadhani unachoita akili nyingi ni memory, concatenation and Focus
At least kila siku ale
1.Nuts hasa almost (punje 4 kwa siku)
2.Berries, Grapes na Apple,Parachichi na matunda yenye vitamin C
3.Mafuta ya samaki
4.Chai ya Rangi/Kahawa ukichanganya mdalasini na Rosemary angalau mara 3 kwa siku
5.kijiko kimoja cha chai mafuta ya Olive oil Extra Virgin kwenye maji ya moto anywe asubuhi kabla ya kula chochote
6.Mboga za majani hasa spinach sio Chinese, kale n.k
7.Ugali wa unga wa ngano, mtama na uwele
Fanyia kazi Kwanza hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom