Mkuu kibongobongo kumpeleka mtoto mapema shule bado ni ukatili kwa sababu shule zetu zinawarundikia watoto masomo ambayo hayakuzi il curiosiry yake.Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Nashukuru Kwa kuwa umekiri kuwa tayari kujifunza. Mimi pia nimejifunza mambo kadhaa toka kwako.Nakushukuru kwa kunirekebisha,Ubarikiwe sana mkuu.
Mkuu mimi sina mentality hiyo na sipo hapa kubishana bali nipo katika mjadala ambao natarajia kujifunza vitu kama hapo ambapo umenirekebisha ndio kujifunza kwenyewe.
HIvyo kama upo na mentality ya kubishana sidhani kama kwangu utatoboa maana mimi huwa siandikagi porojo na wanaobishana huwa wakiona porojo ndio wanapata cha kuandika na wanapsta chs kujibu kwa sababu hizo porojo ndio wanazo nyingi na ndio zimewajaa vichwani mwao
kwako wewe lazima uelezee kipaji ni nini ili mwisho wa siku tusitofautiane pale ambapo nitakataa ama kukubsli kuhusu riadha kuwa kipaji ama laa.
kipaji ni nini kwako wewe ?
MKuu huu sio ugomvi bali huu ni mjadala,usitumie udikteta kuninyamazisha kwenye mjadala huru kama huu.
NDio maana sijakutusi wala kukuvunjia heshim yako japokuwa najua kuna neno upumbavu😀😀.
Unatakiwa ujibu hoja ambazo nimeziweka ili mjadala uende vyema na sio kunitisha mkuu,haitosaidia lolote.
Binafsi naamini kam una hoja utajibu,otherwise utasndika hsys haya ambayo uliyaandika hapo juu
Tanzania mtaala ni cyclic. Mambo ni yaleyale tu. Mtoto wa sec anarudia yale ya msingi. Huko shule wanacheza sana tu.Mkuu kibongobongo kumpeleka mtoto mapema shule bado ni ukatili kwa sababu shule zetu zinawarundikia watoto masomo ambayo hayakuzi il curiosiry yake.
Kwa wenzetu watoto shuleni kuna mazingira rafiki ya kujifunza kwa vitendo na bla bla haziwi kama hapa bongo.
Kwa bongo ni bora mtoto awe anacheza nyumbani na kushiriki michezo mbalimbali ya kumjenga akili mpaka afike hiyo mjaka 6 ndio aende shule,kuliko kumpeleka shule na miaka mi3 yaani shuleni ataenda kudumazwa akili.
Daah hii sio kweli bhana % kubwa ya Wasomi wengi wazazi wao wamepata tabu ya kuwatafutia Ada wengine kwa pombe za kienyeji hata madaftari hawayajui ila watoto wao ndio walipasua sana mitihani...Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi
Mkuu unadhani kwa nini kutokusoma kwa wazazi sio hoja ya kuthibitisha ukilaza wa wazazi ?Hoja kwamba wazazi wao hawakusoma zaidi ya la Saba haliwezi kuthibotisha kwamba wazazi walikuwa vilaza.
So mkuu unatumia kipimo gani kujua mzazi mwenye akili ambaye hakupita shule ?Hapa twaona wazazi wao walikosa TU fursa ya elimu, vinginevyo wao pia wangekuwa vipanga.
Shida iko hapa mkuu,kutafsiri neno kucheza.Huko shule wanacheza sana tu.
Isaya 55:13. Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA. Na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. Sema na Mungu juu ya fahamu na akili za watoto wako. Shetani siku zote yupo kwa ajili ulya kuharibu. Wakala wa shetani(mapepo ya kichawi) yanatumika sana kuteka na kuwafunga watoto wetu fahamu na akili zao. Omba kwa Imani kwa Jina la Yesu na watoto watafunguliwa na Kila mmoja atakuwa kichwa na Wala sio mkia darasani. AmenMiongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
😅Na ikitokea mkewe kazaa kipanga awahi fasta kupima DNA kwa sababu usikute kabla ya mimba ya huyo mtoto Mwashambwa alikuwa akiishi jirani nao.
Hii nadhani ni kwa watu wote. Sema ni namna gani ya hayo mazoezi mtu kuyafahamu na kuyafanyia mazoezi.Waanze kufanya mazoezi yanayo jenga uwezo wa kumbu kumbu na utambuzi wa mambo kuliko kawaida.
MEDITATION.
Ni njia bora zaidi kuliko dawa zozote zil, kuna baadhi ya dawa za mimea naweza kukusaidia nazikawa ninafuu katika kukuza ufahamu lakini yote na yote hiyo hapo juu nilioisema ndio mama yao kwani haihitaji hata gharama labda useme umtafute mwalimu, vinginevyo hakuna gharama ni mazoezi binafsi yaku control pumzi na fikra zinazo ingia s. Nihitimishe kusema meditation sio jambo la kawaida ikiwa unataka watoto wawe Genius masomoni wafanye mazoezi hayo kwa ustadi unaotakiwa.
Hujataja watoto wako wana umri wa miaka mingapi?Utawezaje kusaidiwa?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Hii nadhani sio kwaWaanze kufanya mazoezi yanayo jenga uwezo wa kumbu kumbu na utambuzi wa mambo kuliko kawaida.
MEDITATION.
Ni njia bora zaidi kuliko dawa zozote zil, kuna baadhi ya dawa za mimea naweza kukusaidia nazikawa ninafuu katika kukuza ufahamu lakini yote na yote hiyo hapo juu nilioisema ndio mama yao kwani haihitaji hata gharama labda useme umtafute mwalimu, vinginevyo hakuna gharama ni mazoezi binafsi yaku control pumzi na fikra zinazo ingia s. Nihitimishe kusema meditation sio jambo la kawaida ikiwa unataka watoto wawe Genius masomoni wafanye mazoezi hayo kwa ustadi unaotakiwa.
duh hii nadhani ni utwezaji kwa wala ugali. Hawa vipanga wote tunaowajua mbona walaji wa ugali toka watoto.Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.
Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Mkuu ahsante Kwa maswali mazuri.Mkuu unadhani kwa nini kutokusoma kwa wazazi sio hoja ya kuthibitisha ukilaza wa wazazi ?
Je wazazi ambao hawakuenda shule unawapima vipi kama wana akili ambayo pengine wangeenda shule wangekuwa vipanga ?
So mkuu unatumia kipimo gani kujua mzazi mwenye akili ambaye h
akupita shule ?kuu
mkuu pole kwanza kwa safari nzuri ya malezi ila kuna mambo unatakiwa uzi gatia kabla na baada ya kupata mtoto..Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
mkuu tumekula ugali toka utoto wetu labda useme kuwe na ratiba nzuri ya lishe ugali usirudiwe sana kama ilivyo kwa chips wali vibadilishwe isiwe mfululizoUkitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.
Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Akili unaenda nazo shuleni mkuu, akili hazipatikani shuleni, itachukua miaka 100 wabongo kuelewa hiliHivi huko Japani mtu anakuwa na MASTER at 21yrs old anakuwa alianza shule na muaka mingapi?
Mental age vs body/physical age sio kazima viwe sawa. Saikolojia inasema mtoto anaanza kujifunza akiwa tumboni na mara anapozaliwa. Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Ukimchelewesha mtoto shule unru wa akili utakuwa chini kwa saba u ataishi ktk peer group na atachelewa mambo mengi mbeleni. Shuleni watoto wanapata mda mwingi wa kucheza.
Myoto wa 3 ana 5yrs old amekuwa wa 14. kati ya 60. I do plan kumpa program za kisasa za sakujifunza.
Naamini watoto wangu watakuwa na mda wa kujifunza mambo mengi na ku injoy maisha ktk umri mdogo.
Hakuna tofauti ndogo bali wote ni exceptional kwa mujibu wa saikolojia.
Mental returded ni exceptional,
Genius nae ni exceptional.
Mmoja +ve na mwingine -ve. From normal.
Mental retarded person na mental ill prson hawa ni watu wawili tofauti.Hivi huko Japani mtu anakuwa na MASTER at 21yrs old anakuwa alianza shule na muaka mingapi?
Mental age vs body/physical age sio kazima viwe sawa. Saikolojia inasema mtoto anaanza kujifunza akiwa tumboni na mara anapozaliwa. Mtoto wa miaka 4 ameisha develop language schemas hivyo anaweza kujifunza chocchote. Mtaala waTZ wenyewe ni cyclic hauna jopya.
Ukimchelewesha mtoto shule unru wa akili utakuwa chini kwa saba u ataishi ktk peer group na atachelewa mambo mengi mbeleni. Shuleni watoto wanapata mda mwingi wa kucheza.
Myoto wa 3 ana 5yrs old amekuwa wa 14. kati ya 60. I do plan kumpa program za kisasa za sakujifunza.
Naamini watoto wangu watakuwa na mda wa kujifunza mambo mengi na ku injoy maisha ktk umri mdogo.
Hakuna tofauti ndogo bali wote ni exceptional kwa mujibu wa saikolojia.
Mental returded ni exceptional,
Genius nae ni exceptional.
Mmoja +ve na mwingine -ve. From normal.