KabisaNakazia hapa
UKute kuanzia mimba inatungwa mpk mtoto anazaliwa + makuzi ya ile miaka 5 ya mwanzo mama ni stress tupu...kilio na masononeko kila day , hlf leo unadai mtoto hana akili.
MJifunze kutunza hizo mbegu zenu, cyo kila siku ni pombe ,miraa, energy drink hlf ukatungishe mimba mtoto awe na akili.
Umeenda kwingine. Nimezungumxia exceptionality.Mental retarded person na mental ill prson hawa ni watu wawili tofauti.
Mental illness and mental retardation are completely two different terms and with two different concepts in them and cannot be used interchangeably.
1 Mental illness can be caused by number of causes like genetic causes, environmental causes and chemical imbalances in the brain. While mental retardation in the imbalance in normal development of the brain in an individual by which it can be categorized into mild Estimates of the prevalence of comorbidity of psychiatric disorders.
2.Mental illness can be described when behaviour of individuals is inappropriate, irrational, or unrealistic in most physical, or in mental illness the person’s behaviour is not normal. Mental disorder can be caused by physical, psychological or environmental factors, or a com- bination of all three. While mental illness is not level of intelligence, it is possible for a person to be both mentally ill and retarded
Wape uhuru MkuuMiongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Unazijua factor zinazomfanya mtoto ajue kk mapema ?Shida iko hapa mkuu,kutafsiri neno kucheza.
Kuna michezo ama matendo ambayo mtoto akiyafanya yanaikuza kwa haraka akili yake.
kuna yale matendo ya nyumbani ambayo mtoto akishiriki yanamkuza vizuri zaidi ubongo wake.
Sio kukimbizana tu shuleni na kuruka kwenye madawati ukadhani ndio akili itakuwa sharp kwa hiyo mixhezo hapana.
Sijakuelewa mkuu wangu,kk ndio sijafahamuUnazijua factor zinazomfanya mtoto ajue kk mapema ?
Kkk ni kusoma kuandika na kuhesabuSijakuelewa mkuu wangu,kk ndio sijafahamu
Okay.Kkk ni kusoma kuandika na kuhesabu
Mojawapo ni ,Okay.
SIjajua hizo factora,je unaweza kutupa faida ya hizo factors ni zipi ?
Hilo neno la saba kwenye sentensi yako linatamkwaje mkuu?Mkuu ingekuwa rahisi hvyo kungewa na maginiazi kila kona!
Watoto wa matajiri wasingekuwa vilaza hivi 😁
Nimekusoma mkuu na naunga mkono hoja yako kwamba mtoto aanzishwe vitu mapema,then akienda shule inakuwa mteremko.Mojawapo ni ,
Mtoto kushika vitabu mapema.
Kuna mzungu mmoja anatengeneza content za math anasema" Mtoto ataweza kumasta maths ba kuwa hsta geneus iwapo ataanza mapema zaidi kucheza na math patterns ".
Billgate aliweza kumastet computer kwa sababu alipewa vitabu na computer mapema sana. Language development huanza pale mtoto anapozaliwa tu.
Sababu zingine nitaziandika siku nyinhine.
Nimekusoma mkuu na naunga mkono hoja yako kwamba mtoto aanzishwe vitu mapema,then akienda shule inakuwa mteremko.Mojawapo ni ,
Mtoto kushika vitabu mapema.
Kuna mzungu mmoja anatengeneza content za math anasema" Mtoto ataweza kumasta maths ba kuwa hsta geneus iwapo ataanza mapema zaidi kucheza na math patterns ".
Billgate aliweza kumastet computer kwa sababu alipewa vitabu na computer mapema sana. Language development huanza pale mtoto anapozaliwa tu.
Sababu zingine nitaziandika siku nyinhine.
Sawa mkuu.Nimekusoma mkuu na naunga mkono hoja yako kwamba mtoto aanzishwe vitu mapema,then akienda shule inakuwa mteremko.
Lakini pia nadhani jambo la msingi sana ni kuhakikiha mtoto anaelewa lugha kwa ufasaha akiwa bado mdogo,hii itamsaidia sana akatika kujifunza kwake
Ugali mie mwenyewe huwa nna mashaka nao sana.....Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Ila watoto wa matajiri asilimia kubwa huwa wajinga sana, kuanzia lifestyle mpaka elimu.Mkuu ingekuwa rahisi hvyo kungewa na maginiazi kila kona!
Watoto wa matajiri wasingekuwa vilaza hivi 😁
Saa tisa usiku wasome kisha waende shule zetu hizi, utaua watoto mkuu, sio vitaKama utaweza mkuu wajengee ratiba ya kulala mapema then uwe unawaamsha saatisa usiku unakaa nao mnafanya ibada na wanasoma kuanzia dk 40-60 wakishindwa kutoboa kwa viwango ujue hapo hakuna Mwalimu atawaweza.
Fundi manyumba wote au asilimia nyingi humu twataka hiyo njia je wote tuje pm, aaaah fundiMkuu njia ni moja tuu....
Njo PM