Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

Nawewe ni wale wale tu huna hoja kwani kuwa na follows wengi ndio kupata hela hujui kama watanzania wengi ni malimbukeni wa mitandao wanamfollow mtu tu bila sababu
 
Mbona kama analalamika
 
Wanufaike mara ngapi sasa? Wapya au?
 
Hizo hela angeishia kuzila kama wenzake wanavyokula
Nchi hii kila mtu mwizi mwizi mwizi

Ova
 
Hizo hela angeishia kuzila kama wenzake wanavyokula
Nchi hii kila mtu mwizi mwizi mwizi

Ova
πŸ˜„πŸ˜„ ila sisi wabongo kwenye upigaji huwa hatutumii akili. Kuna jamaa alikuwa na club yake ya riadha ambayo ilikuwa ina udhamini mnono toka Marekani. Alikuwa akitumiwa kontena zima 20Γ—20 la raba achilia mbali pesa kibao za kuendeshea club. Yule mtu aliishia kuelekeza pesa kwenye biashara zake huku lengo halisi akilitelekeza. Wamarekani wakaondoa udhamini wao TZ na kuuelekeza Kenya ambapo huko wamefanya makubwa hadi kujenga hospitali.
 
Aise wabongo kwa uwizi tuko vizuri

Ova
 
Jambo limekugusa tafuta wahusika physically au namba zao moja kwa moja utoe swadaka yako lakini hii ya kusema kuna mtu sijui taasisi anachangisha kwa nchi zilizojaa ufisadi na ubadhirifu wala usijisumbue!
 
 
Asilimia kubwa ya watu wanaofanikiwa ni wale wanaojua kusoma mazingira fasta na kugeuza situations ie:tragedies into opportunities.
Kama dogo truly amejiongeza basi kongole nyingi kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…