YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
UTaacha jicho moja uondoke ma macho ma 3
Kwahiyo wanaomiliki iphone macho ma3 wote waliacha jicho moja?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTaacha jicho moja uondoke ma macho ma 3
Nimependa hiyo kila kitu anauza. Inawezekana anauza kile kitu pendwa ndiyo maana kawa tajiri.Inawezekana kwa wanomfuatilia huyu dogo ni mpambanaji sana anauza online zaidi na kila muda yupo anapost bidhaa tofautitofauti hana bidhaa za aina fulani kila kitu anauza..
Nimesubili kwa hamu kubwa sana komenti yako! Umenena.Kwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahah..sio wale classic kama wewe hiv....wako wale tunaokutana nao kwenye daladala za kawe na mbagala wanamiliki macho ma3 wamevaa ndala za manyoya..sasa unajiuliza huyu katoa nini kama sio jicho!?Kwahiyo wanaomiliki iphone macho ma3 wote waliacha jicho moja?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani wa kumnyakuaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awekeze kabla hawajamnyakua [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 nao si wanajichangaAahah..sio wale classic kama wewe hiv....wako wale tunaokutana nao kwenye daladala za kawe na mbagala wanamiliki macho ma3 wamevaa ndala za manyoya..sasa unajiuliza huyu katoa nini kama sio jicho!?
Mama K machawa wanamchuna anapenda sana sifa 🤣🤣🤣Nani wa kumnyakuaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama K Na Boss wa kidimbwi FC wale ni mileleee.
Useme mama K akili kisoda tyuuh.
Mimi nilienda kama mpenzi wa enzi za chuo. Si unajua mpenzi wa chuo hanaga hela?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hukuwezaa kuhimili mahitaji yakee??
ukinifafanulia kidogo nitakushukuru kaka yaani chapu sana aiseeKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anawakuwadia mabasha wa kiarabu koko, km hujuii.Mama K machawa wanamchuna anapenda sana sifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilienda kama mpenzi wa enzi za chuo. Si unajua mpenzi wa chuo hanaga hela?
Daah unapotea sana Dada angu jamani nini tatizo [emoji3064][emoji3064][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zima hiyo kitu wewe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anawakuwadia mabasha wa kiarabu koko, km hujuii.
Uchawa geresha tyuuh.
Mdogo wangu kipenzi nikupendaye....Daah unapotea sana Dada angu jamani nini tatizo [emoji3064][emoji3064]
Kuna biashara haramu nyuma ya biashara halali inayokuwa kwa harakaukinifafanulia kidogo nitakushukuru kaka yaani chapu sana aisee