Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu.niffer anataka kufanya watoto wa watu wajione hawana maana, akati yeye alipata mtaji kupitia uwazi ulio kati kati ya mapaja,

Atuacheeeeee, wala asitupeleke puta puta hivyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atujie taratibuu tena kwa hatua. Lol

Anatumia urithi wa bibi afu anatujaza kapambana mwenyewe mxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yeye aseme ukweli si wa kwake kwani kuna mtu anamsaidia aseee
 
Mama K si alijiweka kwa boss wa Simba wa bahari hivi waliishia wapi?
Yule ni danga lake kuu, hawaachanii, unadhani jeuri na bata zote mjini anapata wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23]
Dah! Inauma sana, unakuta wazee wamejaa kwenye maofisi ya nssf wanazungushwa miaka na miaka na hela ya pensheni hawapewi. Ila niffer na tako lake kubwa anafaidi pensheni za wazee wa watu, tena anahongwa mtu mzito nssf [emoji23][emoji23]. Ndio maana samia anaona atuuze tu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuu.
 
Kwa lile tako la Niffer hata mimi najipanga kuingiza jina langu kwenye list ya wanaume walio nyuma ya mafanikio ya Niffer. Kwa umri wake bado K mnato sana. Hata hao wastaafu wakipata mafao yao wasipite mbele ya hivi vitoto. Ndugu Cocastic jua kwamba wanawake karibu wote wafanyabiashara wanaliwa hatari. Kuna ex wangu wa chuo alikuja Dar kufunga mzigo wake wa nguo ila nikashangaa anawezaje kulala hotel ya bei mbaya zaidi ya 50k kwa siku wakati kiduka chenyewe huko mkoani kidogo na mume wake ni wa kawaida kabisa? Sasa siku moja nikiwa nae kitandani ndo nikaona anaongea na mtu muda mrefu. Nilimuuliza nani akasema mchepuko wake... ILINIUMA SANA kwanini anisaliti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hukuwezaa kuhimili mahitaji yakee??
 
[emoji23]
Hivi vitoto vya 2000 inabidi viwe na akili ya kuwekeza mapema. Kununua hata viwanja vingi na kuwa na hati nyingi. Maaana baada ya mida mfupi vitoto vya 2010 na vyenyewe vitaiva na kuwa na mizigo na mashepu makubwa na hao wa 2000 watakuwa magumegume na wale wa 80 watakuwa mabibi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anatumia urithi wa bibi afu anatujaza kapambana mwenyewe mxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yeye aseme ukweli si wa kwake kwani kuna mtu anamsaidia aseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.
 
Niffer alikua anauza icecream za Bakharesa wale vijana wanaotembeza wamebeba mgongoni labda ndiko alipatia huo mtaji wa elfu 40 akaenda kuuza wali kariakoo na sasa anamiliki duka kubwa la nguo.

Hata hivyo binti ni mpambanaji apewe maua yake, hayo mengine ni kufikishwa tu kwenye mafanikio tunasema alibebwa akabebeka sio kama wakina fulani ishakua mishangazi lakini inamiliki Macho Matatu na K tu.
Namjua kwao walikua na dhiki sana.
Na kuna kale kengine ka chotara ka kiarabu Sajna sijui kama sijakosea jina anacheza bongo movie pia vixen, nimekabeba sana Kigamboni miaka ya 2000 mwanzoni. Mjomba wake alikua mvuvi. Tuwaache tu hawa madogo wamesota sana. Hakuna apendaye dhiki.

Halafu kuna siku nimeona mdada mzuriiiii kama chotara hivi anauza ice cream za Bakhresa zile wanazobeba mgongoni. Aisee I wish ningemuona tena huyo mrembo.
 
Back
Top Bottom