babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huyu kibibi kasema ana miaka mingapi vile?🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko nje ya mada kidogo;Na mimi nikiwa mmojawapo [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu.niffer anataka kufanya watoto wa watu wajione hawana maana, akati yeye alipata mtaji kupitia uwazi ulio kati kati ya mapaja,
Atuacheeeeee, wala asitupeleke puta puta hivyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atujie taratibuu tena kwa hatua. Lol
Niko nje ya mada kidogo;
Mke wa jirani yangu ananisaliti kwa kutembea na jamaa mwingine. Nifanyeje wakuu?
Au ndio maana mimi bado nakwama? Maana nazingatia sana ethics kwakwel.Kwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe gigy alisema zamani kuwa hawa wadada maarufu ni wadangaji 😂. Wasije kuwapa presha wadada wapambanaji original maana biashara sio rahisi kama wanavyosema. Kumbe wao wana backup ya tako kubwa.
Yule ni danga lake kuu, hawaachanii, unadhani jeuri na bata zote mjini anapata wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama K si alijiweka kwa boss wa Simba wa bahari hivi waliishia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuu.[emoji23][emoji23]
Dah! Inauma sana, unakuta wazee wamejaa kwenye maofisi ya nssf wanazungushwa miaka na miaka na hela ya pensheni hawapewi. Ila niffer na tako lake kubwa anafaidi pensheni za wazee wa watu, tena anahongwa mtu mzito nssf [emoji23][emoji23]. Ndio maana samia anaona atuuze tu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hukuwezaa kuhimili mahitaji yakee??Kwa lile tako la Niffer hata mimi najipanga kuingiza jina langu kwenye list ya wanaume walio nyuma ya mafanikio ya Niffer. Kwa umri wake bado K mnato sana. Hata hao wastaafu wakipata mafao yao wasipite mbele ya hivi vitoto. Ndugu Cocastic jua kwamba wanawake karibu wote wafanyabiashara wanaliwa hatari. Kuna ex wangu wa chuo alikuja Dar kufunga mzigo wake wa nguo ila nikashangaa anawezaje kulala hotel ya bei mbaya zaidi ya 50k kwa siku wakati kiduka chenyewe huko mkoani kidogo na mume wake ni wa kawaida kabisa? Sasa siku moja nikiwa nae kitandani ndo nikaona anaongea na mtu muda mrefu. Nilimuuliza nani akasema mchepuko wake... ILINIUMA SANA kwanini anisaliti.
HIv uko serious au unaendeleza utani wa watu kama juu??Biashara ni kuamua tu na kusema 'nataka kufanikiwa', ukitamka hayo maneno kila siku asubuhi lazima ufanikiwe haijalishi una mtaji au hauna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitoto vya 2000 inabidi viwe na akili ya kuwekeza mapema. Kununua hata viwanja vingi na kuwa na hati nyingi. Maaana baada ya mida mfupi vitoto vya 2010 na vyenyewe vitaiva na kuwa na mizigo na mashepu makubwa na hao wa 2000 watakuwa magumegume na wale wa 80 watakuwa mabibi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemalizaaaaaMashangazi tunashinda gym siku hiz, tumegoma kuzeeka. Hao chipukizi watatukuta tu bado tuko hot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Anatumia urithi wa bibi afu anatujaza kapambana mwenyewe mxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeye aseme ukweli si wa kwake kwani kuna mtu anamsaidia aseee
Mpuuzi umenichekesha 🤣🤣🤣
Cuba mtupu!Na ni kabila lileeee,tulio Soma Cuba tume elewa
UTaacha jicho moja uondoke ma macho ma 3Bro nakuja kuchukua iphone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namjua kwao walikua na dhiki sana.Niffer alikua anauza icecream za Bakharesa wale vijana wanaotembeza wamebeba mgongoni labda ndiko alipatia huo mtaji wa elfu 40 akaenda kuuza wali kariakoo na sasa anamiliki duka kubwa la nguo.
Hata hivyo binti ni mpambanaji apewe maua yake, hayo mengine ni kufikishwa tu kwenye mafanikio tunasema alibebwa akabebeka sio kama wakina fulani ishakua mishangazi lakini inamiliki Macho Matatu na K tu.
Yule ni danga lake kuu, hawaachanii, unadhani jeuri na bata zote mjini anapata wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]