thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 426
Kama.mnahisi kuhongwa ni rahisi tafuteni nyie madanga wawahonge tuache husda na wivu mwenzetu kashatoboa kama unaona njia rahisi na wewe unaweza fuata nyayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kweliKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuuza uchi ni kua tajiri wale wa Kimboka na Wahaya wenye vijumba vyao si wangekua matilionea kabisa.... Kuhongwa kupo je akili ya kutumia kile unachohongwa unayo??? Hapo ndipo mabinti wengi wanapofeli.Kama.mnahisi kuhongwa ni rahisi tafuteni nyie madanga wawahonge tuache husda na wivu mwenzetu kashatoboa kama unaona njia rahisi na wewe unaweza fuata nyayo.
Na angesema kapata pesa kwa kuhongwa wangebisha pia kwa kutoa mifano ya waliohongwa na hawakufanikiwa,Watanganyika wengi wanapenda kusikia mtu anateseka kuliko mazuri yake. Huu ndo uchawi wenyewe.
Kama kahongwa au anajiuza wengine wanafeli wapi?
Kwanza kupata mwanaume wa kukuhonga hyo 150 unadhani ni rahisi? Hata kama alihongwa au anahongwa ana akili pia ya kutumia pesa anayopata ,alafu yeye tunamuhukumu kwa sababu tunamfahamu ni star ,anafahamika lakini kuna watu ambao hatuwajui wanauza vipochi manyoya lakini bado ni maskini sembuse huyu ambaye hata kama anadanga anadanga kistarabu sana!Kama kuuza uchi ni kua tajiri wale wa Kimboka na Wahaya wenye vijumba vyao si wangekua matilionea kabisa.... Kuhongwa kupo je akili ya kutumia kile unachohongwa unayo??? Hapo ndipo mabinti wengi wanapofeli.
uzi uishie hapa, this is best comment ever to this threadKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa, napenda sana watu wanaojua walipotoka na kuhustle wasibaki hapo hapo, mengi yatasemwa ila Niffer muuza Icecream sio Niffer huyu wa Sasa aliyealikwa hadi Ikulu kupata Dinner akiwa na timu ya Yanga,Namjua kwao walikua na dhiki sana.
Na kuna kale kengine ka chotara ka kiarabu Sajna sijui kama sijakosea jina anacheza bongo movie pia vixen, nimekabeba sana Kigamboni miaka ya 2000 mwanzoni. Mjomba wake alikua mvuvi. Tuwaache tu hawa madogo wamesota sana. Hakuna apendaye dhiki.
Halafu kuna siku nimeona mdada mzuriiiii kama chotara hivi anauza ice cream za Bakhresa zile wanazobeba mgongoni. Aisee I wish ningemuona tena huyo mrembo.
Hiyo kaniki ndio huwafanya wengine wajione hawapambani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shangazi mmoja Gym imemuharibu badala ya kua sexy lady amekua baunsa hadi anawatisha sponsors [emoji23][emoji23] sema 'sajari' ipo mashangazi tutaenda kila pembe ya dunia kubadili muonekano ili mradi tusipitwe na sokoMashangazi tunashinda gym siku hiz, tumegoma kuzeeka. Hao chipukizi watatukuta tu bado tuko hot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yasiyo wezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu. Tumsifu Yesu Kristu.
NdiooooooSoko gumu sana sikuhizi, vitoto vya 2000 ni moto sana. Toto dogo tako kubwaaa, tumbo flati, zigo kubwaa lainiii [emoji23][emoji23] jeupee. Pia wanaume wengu sikuhizi wanaishi kwa bajeti ni mwendo wa puli tu lazima soko liwe gumu kwako dronedrake
Kweli kabisa Niko kwenye business flani hivi aseeh watu wachawi jamaniKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shangazi mmoja Gym imemuharibu badala ya kua sexy lady amekua baunsa hadi anawatisha sponsors [emoji23][emoji23] sema 'sajari' ipo mashangazi tutaenda kila pembe ya dunia kubadili muonekano ili mradi tusipitwe na soko
HahahahaaKuna shangazi mmoja Gym imemuharibu badala ya kua sexy lady amekua baunsa hadi anawatisha sponsors [emoji23][emoji23] sema 'sajari' ipo mashangazi tutaenda kila pembe ya dunia kubadili muonekano ili mradi tusipitwe na soko