Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Watu wanadhani kudanga ni Kazi rahisi sana, like unalala, unapanua mapaja halafu basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wengi wanaaongea hawajai hata kuhonga hata laki ,wanakuja kutufokeaa tu hapa ,Watu wanapenda kusikia habari mbaya masikioni mwao labda aseme"alianza kudanga na elfu arobaini" kudanga mpaka ukawa na duka la nguo unatumia akili kubwa na haudangi na wanaume tia maji tia maji,Bora kadanga kapata mtaji kuliko wanaotoa vipochi vyao bure
 
Mkaka usije ukaaminiamini kirahisirahisi, yawezekana kuna mengine ambayo kafanya huyo mdada,hadi hatamani mwanae aje afanyiwe.Itoshe tu kuguna pale unapomsikiliza dada Kama huyo,hasa baadhi yao wanapomshirikisha Mungu na kusema Wooow Thanks God,wakati hapo katikati ya Mungu pana wanadamu wengi sana wamemfanyia mambo ambayo hayaelezeki.
 
[emoji1787]
Mashangazi mnakomaa kama mabaunsa, nyama zinakuwa ngumu. Soko limeingia mzigo mpya wa vitoto vya 2000 vyenye tako kubwa lainiiiiiii [emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee hebu tutake radhi labda dada wa taifa ndio kakomaa, sisi wengine bado vigori chuchu saa 6
 
Back
Top Bottom