Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Labda kama alipata danga lenye ukwasi mkubwa.
Bongo ngumu sana kufanya biashara halali na kuwa na mamilioni ya pesa.
Bongo ngumu sana kufanya biashara halali na kuwa na mamilioni ya pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za wastaafu za nssf zinaishia kwenye tako kubwa 😂😂. Wastaafu wanahangaika kwenye maofisi ya nssf kila siku, kumbe hela zinaishia kwenye tako kubwa 😂😂.Kwa hiyo kuna lijitu huko linachota mihela nssf alafu anakwenda muonga mtu haha
Ova
Ebu hiyo picha ya niffer plz. Mie simjui
www.instagram.com
Ntarudiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa umbea huu,nina.uhakika asilimia 100 hautarudi tena Songea.
Back up muhimu hakuna mwanamke asiyekua na back up labda awe na gundu la chungu cha bibi.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada huyo niffer ana back up, km huamini subiri aachwe afu utaonaa.
Sahivi ana mtaka kibaa, vipi drama na Patrick kanumba zimeishia wapiii? Had ma mkwee kuchochea ubuyuuu.
Ila niffer bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan aaahAnaulizwa na watangazaji, tunasikia unaliwa na Kiba...majibu yake sasa..
( Do we look good togather?)
Mwisho wa kunukuu
Mjini hapa akili ndio kila kitu, ukiwa una aibu aibu utakufa kwa njaa[emoji23]
Kumbe zile photoshoot za Instagram ,wadada wanaweka matako na manyonyo yanakaa wazi ni mbinu ya kusaka wanaume wa kuhonga hela?
Sisi picha hizo za mitandaoni tunapigia puli bure kabisa na akina dronedrake [emoji23][emoji23]
Na huwezi fanikiwa bila kuwa mchafuKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao Mwigulu?Na ni kabila lileeee,tulio Soma Cuba tume elewa
Soko gumu sana sikuhizi, vitoto vya 2000 ni moto sana. Toto dogo tako kubwaaa, tumbo flati, zigo kubwaa lainiii 😂😂 jeupee. Pia wanaume wengu sikuhizi wanaishi kwa bajeti ni mwendo wa puli tu lazima soko liwe gumu kwako dronedrakeSoko limekua gumu, vitoto vya 2000 vipo kwenye chat nani akimbizane na migume gume ya miaka 80 huko
Pension anaakulaa Niffer mtoto wa 24yrs, huku wazee wakiwa hawana halii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ndio maana anasemaga yupo single. Kumbe anasponsor wake wa nssf anafadi tako lake [emoji23][emoji23][emoji23] au mzabzab ndio sponsa wa niffer?. Wale mnaokatwa mshahara nssf mnaona pesa yenu inapoenda ? Ndio maana pensheni hazipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja akiugua ndo tutajuaNiffer ni tajiri???
Daah we kiumbe kumbe unajua kufunguka kiasi hiki?Mjini hapa akili ndio kila kitu, ukiwa una aibu aibu utakufa kwa njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada nimechekaaa mnooo.Back up muhimu hakuna mwanamke asiyekua na back up labda awe na gundu la chungu cha bibi.....
Kikubwa hiyo back up unaitumia ipasavyo kufikisha malengo yako? Tunamuona ana pambana usiku na mchana hata sponsor anaona kweli pesa yake ipo mahali salama, sio yule shangazi mwenye kipili pili cha K akihongwa kidogo tu anabeba crew ya marafiki kutumbua hela mahotelini, sponsor anaona kabisa hapa nadeal na zero brain anapiga chap chap anasepa zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watuuu eboooh.Pesa za wastaafu za nssf zinaishia kwenye tako kubwa [emoji23][emoji23]. Wastaafu wanahangaika kwenye maofisi ya nssf kila siku, kumbe hela zinaishia kwenye tako kubwa [emoji23][emoji23].
😂Pension anaakulaa Niffer mtoto wa 24yrs, huku wazee wakiwa hawana halii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi bas tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo km hivyo ana duka lake,Ndiyo ajijenge sasa
Aache mbwembwe,maana hao ma sponsor wakipigwa chini huko madem
Zao wanaumiaga
Ova
Duh! Leo umenifungua akili 😂😂😂. Kumbe Zile page za Instagram ni fremu za kuuza matako yao 😂😂😂Mjini hapa akili ndio kila kitu, ukiwa una aibu aibu utakufa kwa njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@cocastic tena [emoji1]
Ova