thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 426
Wengi wanaaongea hawajai hata kuhonga hata laki ,wanakuja kutufokeaa tu hapa ,Watu wanapenda kusikia habari mbaya masikioni mwao labda aseme"alianza kudanga na elfu arobaini" kudanga mpaka ukawa na duka la nguo unatumia akili kubwa na haudangi na wanaume tia maji tia maji,Bora kadanga kapata mtaji kuliko wanaotoa vipochi vyao bureWatu wanadhani kudanga ni Kazi rahisi sana, like unalala, unapanua mapaja halafu basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣Hahahah wahuni sio watu🤣
We jamaa fala sana nimecheka hadi sio poaNi kweli yani, mi nilianza na vocha ya jero tu ila sasa nina maduka matatu ya iphone mjini[emoji3]! Biashara ni imani tu jamani tusikate tamaa.
🤣Mashangazi tunashinda gym siku hiz, tumegoma kuzeeka. Hao chipukizi watatukuta tu bado tuko hot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah ndio hivyo mkuu biashara ni imani tu.We jamaa fala sana nimecheka hadi sio poa
Wewe umeshaweza? Tupe tipsLakini inawezekana
Nenda Instagram Yupo Home boy..Hata picha basi tumuone huyo niffer anaonekanaje?
[emoji1787]
Mashangazi mnakomaa kama mabaunsa, nyama zinakuwa ngumu. Soko limeingia mzigo mpya wa vitoto vya 2000 vyenye tako kubwa lainiiiiiii [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mzee wa vikao, ndo konkodii mwenyeweee.
🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee hebu tutake radhi labda dada wa taifa ndio kakomaa, sisi wengine bado vigori chuchu saa 6
Wanatembelea mianzi 😂🤣Toleo jipya la wanawake kunenepa mapaja, mguu njiti linazidi...samahani, akili za asubuhi hizi
Nimekumiss zaidi dada, nimefurahi kukuona tena sema usipotee sana jamani, nakupenda pia [emoji7][emoji7]Mdogo wangu kipenzi nikupendaye....
Nimekumiss...
Dadako nipo jamani.....Nitakuchek chemba mdogo wangu...
Nakupenda.
Mdogo wangu nimekumiss nawe piaMdogo wangu kipenzi nikupendaye....
Nimekumiss...
Dadako nipo jamani.....Nitakuchek chemba mdogo wangu...
Nakupenda.
Tunaita njitiWanatembelea mianzi 😂🤣
Umenidindisha. Watu wa mikazo tupo.Wewe mpk mzee wa vikao nae ana basha wake?![emoji134][emoji134]
Bas hataree, wanaume wanaisha tutakazwa na kina nani sasa?!!!