Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kuwezaa??

Ningekuwa me ningejiongeza udugu kwanza mbona kamuelewa ni kijana wake!! Hata mambo ya sebeneka asingepinga kikubwa pumzi iwepo bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Angekuwa kwenye jumba la kijani kibichi anatusomea matumizi yetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila hata mimi japokuwa napenda vi model ila kwa niffer ninahonga vizuri aisee, yule mtoto ni mzuri afu yupo natural ilo la utajiri kwa kweli mtu anayeji proud kashika milioni 150, bado siyo tajiri...huyu anatumwa mizigo huko china account ikisoma 150 anapagawa kumbe kuna wateja kama 10 wame deposit
 
Back
Top Bottom