Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sisi ni ndg anajua msimamo wangu we tulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hapo unamtafuta WC aje awashe mwenge hapatakalika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni ndg anajua msimamo wangu we tulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hapo unamtafuta WC aje awashe mwenge hapatakalika
Sisi ni ndg anajua msimamo wangu we tulia
Naenda ngende, shauri zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hapo unamtafuta CW aje awashe mwenge
Sio wa kutembeleana, hakuna urafiki wa ke na meSisi ni ndg anajua msimamo wangu we tulia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama mzoga ni hivi basi wacha nife na mizoga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hajuagi kitu kinaitwa msimamo si unakumbuka kipindi kile??
Nikikumbuka nacheka alisema siwezi kuwa na mzoga,ss hivi anakaba kila kona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama mzoga ni hivi basi wacha nife na mizoga
Bora uufie mzoga unaoupenda bro🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama mzoga ni hivi basi wacha nife na mizoga
Huu mzoga wacha nifae nao tu hakuna tena namna, ama niniBora uufie mzoga unaoupenda bro[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa shemu.Sitaki tutofautiane. Ila najua unapenda sana haya mambo yakiendelea kuongezeka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachachee wao.Kwani mabinti wengine hawabebwi?waige mfano wa Niffer,sio wakibebwa wanakimbilia I phone na kunywa Hennessy [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa lile tako la Niffer hata mimi najipanga kuingiza jina langu kwenye list ya wanaume walio nyuma ya mafanikio ya Niffer. Kwa umri wake bado K mnato sana. Hata hao wastaafu wakipata mafao yao wasipite mbele ya hivi vitoto. Ndugu Cocastic jua kwamba wanawake karibu wote wafanyabiashara wanaliwa hatari. Kuna ex wangu wa chuo alikuja Dar kufunga mzigo wake wa nguo ila nikashangaa anawezaje kulala hotel ya bei mbaya zaidi ya 50k kwa siku wakati kiduka chenyewe huko mkoani kidogo na mume wake ni wa kawaida kabisa? Sasa siku moja nikiwa nae kitandani ndo nikaona anaongea na mtu muda mrefu. Nilimuuliza nani akasema mchepuko wake... ILINIUMA SANA kwanini anisaliti.
Kweli huyu ni MuhayaNiffer ni Muhaya,shombo lazima😅
alikuwa 40k plus mwili wake... lazima atoke 😅😅Kutoka 40k hadi 150M chap! Duh...
We ukimkuta kwenye Kona anakonyeza mtu,nistue fasta tukamnyooshe😂Bro unataka kunigombanisha na sis angu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sis anakurusha roho huyu bwana shemeji
Inategemea na mdau aliyeweka Kambi kwake.Kama kuuza uchi ni kua tajiri wale wa Kimboka na Wahaya wenye vijumba vyao si wangekua matilionea kabisa.... Kuhongwa kupo je akili ya kutumia kile unachohongwa unayo??? Hapo ndipo mabinti wengi wanapofeli.
We ukimkuta kwenye Kona anakonyeza mtu,nistue fasta tukamnyooshe[emoji23]
Weweeee usiwe unakaribisha wadogo zangu nyumbani mi nikiwa sipo,sipendi utani na Jimbo langu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Cute Wife kaa mbali na shemejio