Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Haya mahesabu ya 40k mpaka milioni 150 yamekaaje kibiashara?
Tena mtu akiwa na umri mdogo hivyo 24 years!?
Tusitaniane bhanaa hapa kuna mengine ya kando yalifanyika.
 
Uko sahihi 100%. Wakubwa wengi wana hela nyingi za kifisadi ambazo zinawapa wakati mgumu sana jinsi ya kuzitumia kwasababu wakikaa nazo pia ni hatari. Niffer akitulia anaenda kuwa mwanamke tajiri sana katika umri mdogo. Tusishangae hata hilo jengo akalinunua miaka michache ijayo.
 
Safi sana Dr Niffa
 
🤣🤣🤣 Hauuzi na Sanda Used mkuu?
 
Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.

Me nilikuwa tu na wazo la biashara, sikuwa hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
Depal Carleen Darlin shosti yenu anatumia id gani mbona kaadimika sana humu?
 
Ulimi unaponza kichwa. Ukimya nao unasaidia ana attract attention itakayomsumbua!
 
Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.

Me nilikuwa tu na wazo la biashara, sikuwa hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
Bro kam mungu amekupa shukuru kwa imani yko ila usisem watu wazembe kuna watu wanapamban sna.so kufanikiwa sio ujanja wko pia sio kwamba wew ukifanya sna kazi ila time yko ilikuwa imefika we mshukuru mungu kwa apo ulipo usione wasio fanikiwa ni wazembe bro unakosema
 
Uzi umefufuka simu kakabidhi kwa ukaguzi, ila nifer anajiamini sana sijui nani anampa hiyo jeuri ata kama pesa ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…