Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Kama Resty ndiyo angeingia Insta Live hadi asubuhi🤣Kashajionea wanaombea anguko lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Resty ndiyo angeingia Insta Live hadi asubuhi🤣Kashajionea wanaombea anguko lake
Wahenga walinena.....Kwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mahesabu ya 40k mpaka milioni 150 yamekaaje kibiashara?
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
Uko sahihi 100%. Wakubwa wengi wana hela nyingi za kifisadi ambazo zinawapa wakati mgumu sana jinsi ya kuzitumia kwasababu wakikaa nazo pia ni hatari. Niffer akitulia anaenda kuwa mwanamke tajiri sana katika umri mdogo. Tusishangae hata hilo jengo akalinunua miaka michache ijayo.Niffer Mall .
Nilichoona amehamia sehemu nyingine pakubwa zaidi.
Yeye mwenyewe ndio alisema kwamba TRA wamemzingua hivyo anafunga kwa muda.
Ndio maana wasanii wakiwa na shida wakiongea watu hawatochukulia serious kwasababui issue nyingi wanazoongea ni kutafuta trending/kiki.
All in all ,nachoona hapo watu wakubwa wamejoin naye nyuma ya pazia na kumtanguliza Niffer(wamepata share) hivyo kumuongezea msingi kama walivyofanya kwa Dayamondi aka Zombie.
Safi sana Dr Niffa
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
🤣🤣🤣 Hauuzi na Sanda Used mkuu?Hata mimi nilianza na mtaji wa elfu 50 nikawa nanunua majeneza used ya wizi nayapaka rangi nauza upya lakini sasa hivi mradi umekuwa mkubwa kiasi kwamba nimekuwa msambazaji mkubwa wa majeneza ndani na nje ya nchi!
Pamoja na kwamba sikumaliza hata shule ya msingi niliishia darasa la nne nikafeli (sikuwa na akili)
Lakini leo hii kampuni yangu imeajiri wasomi
Fmzee baba unamwaga spana😂
Labella Lamomy CountrywideWewe mpk mzee wa vikao nae ana basha wake?![emoji134][emoji134]
Bas hataree, wanaume wanaisha tutakazwa na kina nani sasa?!!!
Bro kam mungu amekupa shukuru kwa imani yko ila usisem watu wazembe kuna watu wanapamban sna.so kufanikiwa sio ujanja wko pia sio kwamba wew ukifanya sna kazi ila time yko ilikuwa imefika we mshukuru mungu kwa apo ulipo usione wasio fanikiwa ni wazembe bro unakosemaBiashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.
Me nilikuwa tu na wazo la biashara, sikuwa hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
PUNDA HAJASOMA LAKINI HAKOSI KAZI.Mim pia nilianza na nyoya la kuku saizi nina kuku 1700 bandani, naingiza zaidi ya million 30 Kwa mwezi...
Vijana tafuteni pesa, ajira hakuna ila kazi zipo ....
Penseli una hekaheka
Ndo nani?Penseli
Sahihi kabisaKwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake Wana vyanzo vingi vya mapato