Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

cocastic naomba uje kuleta mafaili yake. Je ni kweli ni biashara tu au tako kubwa? Je tra anatoa kodi kiasi gani?

Je mange anasemaje?
Je gigy anasemaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atuachee bhanaa, ashukuruu alikua na akili za kujiongezaa baada ya kuhongwaa,

Menginee abaki nayo mwenyewee, wala asitudanganyee hapaa, tunamjua vizurii kabisaa.
 
##sio kama ile mishangazi inamiliki macho matatu na k tu###
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.

Me nilikua tu na wazo la biashara, sikua hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa sawa
 
Umeongea kitu kikubwa sana, wenye akili pekee wataelewa hii.
 

Mishangazi inamiliki nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mafanikio katika umri mdogo mara nyingi huwa kuna "dark side of it" ambayo hawezi kuizungumza!! Atakuambia ule upande mwingine ulio mweupe japo mchango mkubwa hutokea kwenye dark part of personal life!! Matajiri wengine waone hivi hivi!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ndo umemalizaa, useme alihongwa na akahongeka na akajiongezaa baas.
Kuhongwa lazima, mzuri pia ana akili na njaa ya mafanikio, namuona mbali sana yule binti ila kama kawekeza Moyo wake kwa King Kiba ajiandae kwa tukio takatifu hadi atachukua likizo ya miezi sita.
 
Ah kabisa,kama kapiga hatua hongera
Zake

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…