YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
DAah dunia simama nimesahau chenji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bro huyu anataka kuniambukiza dhambi ya uzinzi [emoji23][emoji23]
Unadindaje kwenye comment??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DAah dunia simama nimesahau chenji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nisamehewe naomba[emoji38]Unatia hasira hakika
HUenda koments zako zina kalio kubwa🤣🤣🤣Bro huyu anataka kuniambukiza dhambi ya uzinzi [emoji23][emoji23]
Unadindaje kwenye comment??
Sisemi kitu, acha ninyamazeNisamehewe naomba[emoji38]
Wacha niende BRNisamehewe naomba[emoji38]
Yaani hizi comments nacheka kwa sauti hadi wananishangaa huku😀😀🙌Haa mimi nilianza kuendesha boda lakini sasa namiliki mabus ya mkoani 20
Na wewe ulivyo mrembo, ukianza kuuza miguu ya kuku baada ya mwaka utamiliki hotel ya nyota 5 zaidi ya 3Yaani hizi comments nacheka kwa sauti hadi wananishangaa huku😀😀🙌
HUenda koments zako zina kalio kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha basi nilipo baridi ni kali, na upwi..r..u ni mwingi tafadhaliAna kikoko cha muda mrefu itakuwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utakuwa wewe wa kiume au sura mbaya...hope umenisoma😂Mi nlianza na 2.5M saiv sina hata mia😁😁😁sijui yy kawezaje
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
1 ya 7 advance sio issue,ukiwa smart unaigonga vizuri.tu. Mimi nashangaa mtu aliyepo mjini shule nzuri anafeli vipi?Uyu dem aligonga one ya saba fom 6 combi hkl sijui
Appreciate [emoji91]
Acha basi nilipo baridi ni kali, na upwi..r..u ni mwingi tafadhali
Story unazopenda. Sema nini mimi napata wakati mgumu kwa hili ongezeko la hawa vijana wenzetu kuleft group[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mzee wa vikao, ndo konkodii mwenyeweee.
We acha tu, msaada unahitajikaBro na wewe tena? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado nashindwa elewa nini inatokea kwa Hawa celebrities, kweli vijana wengi mno wanaaga mashindanoWewe mpk mzee wa vikao nae ana basha wake?![emoji134][emoji134]
Bas hataree, wanaume wanaisha tutakazwa na kina nani sasa?!!!
150m ni pesa nyingi?150m Muongo