YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
We acha tu, msaada unahitajika
Ngoja nikuitie sister J
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu, msaada unahitajika
Mi dume la mbegu sheikh!Utakuwa wewe wa kiume au sura mbaya...hope umenisoma😂
Bado nashindwa elewa nini inatokea kwa Hawa celebrities, kweli vijana wengi mno wanaaga mashindano
Hahahaha wewe ulipata ngapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mm nilisoma sayansi fom 6 ila one ya 7 hata ya art naipa respect1 ya 7 advance sio issue,ukiwa smart unaigonga vizuri.tu. Mimi nashangaa mtu aliyepo mjini shule nzuri anafeli vipi?
😀😀 kwa urembo gani😀 tuwaachie akina Niffer tu from 40k to 150M aiseeNa wewe ulivyo mrembo, ukianza kuuza miguu ya kuku baada ya mwaka utamiliki hotel ya nyota 5 zaidi ya 3
Tamaa, bado nashindwa kuelewa kwa nini wanaume wenzetu wanapenda sana kupewa ppesa bure bure tu.Hao machawa tamaa na ugumu wa maisha itakuwa [emoji17]
Mimi kitu inaitwa shule ilikuwa kichwani, sijui kufeli kunafananaje. Mimi napenda kusoma, hata sasa ni msomaji mzuri wa vitabu na articles mbalimbaliHahahaha wewe ulipata ngapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mm nilisoma sayansi fom 6 ila one ya 7 hata ya art naipa respect
Nilipata one pia fom 6 ya sayansi PC■
Bila shaka utakua mkurugenz saiv shirika moja kubwa la serikaliMimi kitu inaitwa shule ilikuwa kichwani, sijui kufeli kunafananaje. Mimi napenda kusoma, hata sasa ni msomaji mzuri wa vitabu na articles mbalimbali
Bidhaa anayouza na kumuingizia hizo fedha hutokaa uione hadharan kirahisMtoa mada hata picha yake basi. Au hata Duka lake au bizaa anayo uza. Lakini wapi maneno mengi mnooo
Tamaa, bado nashindwa kuelewa kwa nini wanaume wenzetu wanapenda sana kupewa ppesa bure bure tu.
Bahati mbaya hao matajiri wakubwa wafanyabiashara huwa wana mambo yao ambayo kula mwanaume mwingine ni moja ya masharti. Basi ndugu zetu hawa wanalika haswaa
Umeandika kinafki, lakini sipo humu kujisifia nilipo. Tusiende huko, haina maanaBila shaka utakua mkurugenz saiv shirika moja kubwa la serikali
[emoji119]Umeandika kinafki, lakini sipo humu kujisifia nilipo. Tusiende huko, haina maana
Hahaha tuko nchi mbali mbali ujueNgoja nikuitie sister J
Sema tu embe limemdondokea mpita njia...umemfunika mbali sana, wewe lizuri sana asee😀😀 kwa urembo gani😀 tuwaachie akina Niffer tu from 40k to 150M aisee
Biashara mkuuHaa😀😀😀 vocha hadi duka la Iphone🙌