Nifundisheni jinsi ya kuwaingia watu wakubwa VIP!! Sina kazi sina mchongo Nashindwa Kuongea na Maboss

Nifundisheni jinsi ya kuwaingia watu wakubwa VIP!! Sina kazi sina mchongo Nashindwa Kuongea na Maboss

Si uwapigie, ishu serious we unatuma text si dharau hizo.

Hata kama sio VIP kuna wengine ukituma text ati una shida husaidiwi.
Piga jitambulishe vizuri eleza shida yako ...
Baada ya hapo ndo unaweza kua unamkumbusha kwa texts
 
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
Hapo namba mbili ("Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss") inachangia ulipofika. Ni vizuri kuwa na mahusiano (yenye afya) kwa ajili ya networking hasa kwa career growth. Ukijifungia ndio unakuwa huwajui na inakuwia vigumu kuwa approach.
 
Kuna jamaa aliomba namba kwa mwenzake ambaye amemzidi kimaisha akaambiwa hii namba usipige wala kutuma text ya kawaida ila utume text kwa njia ya wasap tuu [emoji23] nikabaki kucheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fanya haya ukutane na huyo unayemtaka akusaidie.
1. Fanya profiling: Huyo muhusika anapenda nini, kwenda wapi, saa ngapi.

2. Circle yake: Ana watu gani, kuanzia wa chini kabisa hadi anaekaa nao mezani

3. Starehe: Hii ni kama hapo namba 1,
Kuwa mzuri ama expert kwenye eneo la target yako na wewe nenda kwa kuanza na circle yake.
Namaanisha kitu kama anapenda kucheza Fifa ama games basi inabidi uive haswa kwa kuwachakaza wale walioko kwenye mzunguko wake, hii itasaidia sifa zako zisambae kwenye ki-eneo na mwishowe ukionana naye ni yeye ndo anakuwa wa kwanza kuchangamka kabla yako.

4. Usiwe desperate kumfuata, muache yeye akufuate kwa value ambayo utakua nayo. Tengeneza value kupitia skills zinazomvutia huyo unayemtaka.

5. Happy hunting.
P.S yeye ndio akufuate.
 
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
mtegemea cha nduguye hufa masikini
 
Hayo maisha unayotaka kuyaishi mbona ni magumu sana,sijui lkn watu tuko tofauti,kwanza una elimu gani?una uzoefu gani?una skills gani?Je ni muaminifu kwenye kazi?Je unamawasiliano mazuri?ukiwa na hivyo vigezo hauna haja ya kutumia nguvu sana hao maboss watakutafuta tu wenyewe na kupokonyana kutaka kufanya kazi na wewe
Naungana na wewe mkuu, hii njia ya kujikwamua anayotaka kuitumia huyu mwanajukwaa naona kama ni ngumu mno.
 
Back
Top Bottom