Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Mkuu kuwa makini na watu wa njoo huku upige pesaa ukienda wanakupiga pesa kweliii ushauri tuuu na sio vingine
stoplight
 

Salute
 
Mil 12 tu unatengeneza uhakika wa 2M per month?
Huo mchongo ukitiki nitag mzee baba,maana kuna kiamount kipo tu nachakata nikitupe wapi kichwa kinakosa jawabu.
 
Ninatamani kukushauri wazo fulani,ila ni wacha nisome mawazo ya wakuu kwanza
 
Mkuu kabla ya kupata hizo besa, wewe ulikuwa umepanga kufanya nini?

Halafu hizo hela bado zipo? dah toka Septemba 3!!! 😆😆 maana maisha yenyewe ndio haya haya.
 
Mkuu kabla ya kupata hizo besa, wewe ulikuwa umepanga kufanya nini?

Halafu hizo hela bado zipo? dah toka Septemba 3!!! [emoji38][emoji38] maana maisha yenyewe ndio haya haya.
Ni akiba tu ambayo na jiwekea ili nifanye biashara yenye tija (productive business) pesa ipo boss wangu na kwa sasa zimeongezeka, zimefika 13mil. Wewe nisaidie tu kunishauri cha kufanya mkuu
 
Mkuu me naomba kuuliza hivi ni gharama ngapi inahitajika kupata eneo ndani ya chuo kufanya biashara

NB: eneo la kujenga kama frem[emoji120]
 
Mkuu, lengo ni 2mil. au zaidi kwa mwezi. Chukulia hii kama sehemu ya kigezo cha biashara utakayonishauri
Mkuu njoo tufanye forex kwa mtaji wako wa $5000 ambayo ni sawa na M13 hatuwezi kukosa faida ya $2500 per each months ambazo ni sawa na M5,mm Nina skills wewe una mtaji njoo tushirikiane maana mm nafanya forex lakn kwa mtaji kdg sana lakn napata faida nzuri tu ..itakuwaje kama nikianza kutrade na $5000 account...karibu sana!
 
Hii biashara ni tamu sana kwa mm mtu niliye karibu na Kenya yani utashika pesa mpaka unuke helaa
 
Fungua duka la dawa kijijini
 
hahaha ngoja upigwe kwanza akili ikae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…