dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Mkuu hizo simu zinapatikanaje?Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.
Vipi kuhusu usalama wa huyu mdudu? Maana najua kutokana na nature yake itabidi ufugie nje ya mji. Hayo mabanda itabidi uwe unafunga mageti? Au itabidi uajili suma jkt walinde? Muongozo wako mkuu. AhsanteInategemea unaifanyaje. Kwa mfano hiyo ya nguruwe unanunua wa miezi miwili wa kisasa unapiga msosi mzuri ambapo chakula chake ni wanga mwingi na madini ni bei rahisi kuliko cha protini ambacho wanahitaji wakiwa wadogo. baada ya miezi miwili au mmoja kwa formula maalumu unauza au uanchinja. Lets say umemnunua 150,000/= ukimtunza akazidi 100 kg unauza 380,000/= ukichinja ukauza lets say kilo ni 7,000 x 80 = 560,000/=
Au ukanunua mbegu ya kisasa wakubwa ambao hawatunzwi vizuri, choma vitamin, choma iron piga msosi vizuri, mwezi unamuweka sokoni.
Inategemea umekuja na plan gani.
Acha uongoNisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;
1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.
2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.
boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Umetisha mkuu nikiokota hela ntakufata unipe ushauri hizo biashara ndogondogo ni zipiMkuu acha nikwambie kitu kimoja uwasaidie na wengine watakaokuja kukuomba ushauri siku 1 huko mbeleni.
Fahamu biashara ni mchezo wa bahati na sibu,huku hamnaga constant profit hata siku 1 kwahiyo usidanganywe wala usipumbazwe na watu watakao kwambia biashara flani ina uhakika wa kiasi flani per day..per month,nk.
Hata kama biashara inaweza kukupa faida ya 2m per month fahamu sio miezi yote utalamba 2m,kwa biashara hyo hyo utapata siku hyo 2m yako, kuna mwezi utapat 3m,kuna miezi itafululiza hata mi 3 Utapata 50k per month, usishangae Huo ndio ukweli.
kwa hiyo kama ushajua ipo miezi utakayosugua benchi na biashara ni ile ile,mtaji ni ule ule, Anzia kuwaza kuanzia hapo sasa... unapowaza biashara ya kufanya usiishie kwenye mafaida ya kila mwezi,mafaida ya kila siku yatakufanya UPOTEZE uje ulie ukose wakukupa pole
ukishajua kuna miezi itaongozana hupati 2m na mtaji umewekeza 12m ninachokushauri ni uachane na biashara 1 kubwaaa na ufungue biashara nyingi ndogo ndogo.
Natamani tu ufahamu 2m ni sawa na uhakika wa faida 70k per day,sasa kama n hvyo kuna biashara nyingi sana za kukupa 50k to 70k za mitaji isiyozidi 2m.
Kwa hiyo ukiwa na 12m unaweza fungua biashara zaidi ya 4 zitakazokupa only 30k, just 30k x 4 = 120k per day ukizdsha 120k x 30 = 3,600,000
Nimekwambia biashara haina constant profit so ktk hiyo 3.6 kwa sababu hiyo ni total ya biashara 4 wewe utakua na uhakika wa kutoyumba hata kama biashara 1 haitokupa 30k zingine zitakupa,biashara hii ikigoma ile kule inakupa.. miezi ya shetani ikifika wenzako wakiwa wanalalamika biashara mbaya.
wewe kwako itakua ni tofauti,biashara yako itakua mbaya kwa namna ya faida kupungua ila si kukosa faida kwahyo kama ulikua ukipata 3.6m sasa hv utakua unapata 2m (ile target yakooooo) or utacheza 2.5,2,2,nk nk,nk
kwanini utakua na uhakika?!
Kwasababu hujawekeza kwenye biashara 1,umewekeza kwenye biashara nyingi ndogo ndogo ambapo uhakika wa faida ni mkubwa kuliko hasara, LAKINI ukitia 12m YOTE kwenye biashara yyte utakayoshauriwa au utakayoiafiki ina pesa,fahamu kwamba zipo siku zitakuja utakua na majuto makubwa kuliko mwanaume aliegundua anagongewa mke wake.
My POINT...
Split that capital into pieces... fungua biashara tofauti bado hauna kitu mkuu,12m is nothing anytime inapeperuka hiyo inabaki story ulishkaga 12m, usiwaze mavitu makubwa makubwa bado wewe n mjasiriamali mduchu sana sana sana,jishushe anzia huku down Halafu utaona namna utavyotusua.
ukiwa na malengo nina uhakika ndani ya mwaka 1 ukiweza fanya kama ninavyotamani ufanye kwa mtaji HUO ukifunga mwaka wa miezi 12,wasipokuita freemason watasema ulienda kuloga.
ila ukienda kama ninavyohisi unataka kwenda,mimi sikuombei mabaya ila nataka ufahamu utakua na safari ndefu sana kufikia ndoto zako.. Fupisha hiyo safari pita shortcut ili uzifikie ndoto zako angali kijana na una nguvu,angali ulimi wako una feel taste ya fanta orange...
PumbavuMkuu habari za majukumu. Nimeona thread ukiuliza ufanye biashara ipi kwa milioni 12. Mimi ningependa kukushauri ufungue chuo. Biashara ya chuo inalipa sana, hivi sass wanafunzi wanaohitimu shule za kata ni wengi Sana, na asilimia kubwa hawapati Nafasi ktk vyuo vya serikali na pia wazazi wengi hawapendi watoto wao waishie kidato cha NNE. Hivyo hii ni fursa kubwa Sana. Binafsi ninafanya kazi Kama afisa masoko katika chuo kimojawapo jijini arusha pia Nina uzoefu katika haya masuala. Kwa hiyo pesa uliyonayo inatosha kabisa kuanzisha chuo bila tatizo lolote. Endapo utapenda kufanya biashara hii tunaweza wasiliana 0717051576
Sasa kaka hyo mil8 unayosema, nauli kwenda na kurudi toka dubai ni mil2.5, kukaa kule labda siku4 inabid uwe na mil 1.5, yani kutembea, pa kulala na chakulaYaniii bro ukianza na mil 8 tu unabeba mazaga ya kutosha huko dubai balaaa yaniii
Hujaweka gharama za usafirishaji ndugu, kwa hiBiashara mpya kwa mtaji huo mkubwa is too much risk kama hautasimamia mwenyewe mkuu
Ila kuna option ya kununua mazao ya chakula hasa Mpunga gunia zako za kutosha na kuziweka store na inapofika kipindi cha Masika unafanya kuzikoboa gunia zako na kupata mchele wako swafi tayari kwa kuingiza sokoni kwani kipindi hicho uhitaji wa mchele unakuwa mkubwa sana hapa Dar es Salaam na Zanzibar
Minimum profit calculation
Katika centre nyingi ninazo zifahamu kwa muda huu gunia moja la Mpunga lina range kwenye TSH. 50,000/=
Hivyo basi kwa Pesa uliyonayo yaani TSH. 12,000,000, utaweza kupata gunia zenye debe sita sita 240 za mpunga na kuzihifadhi.
Kipindi ambacho Masika imechanganya hasa mwezi wa kwanza au wa pili, wewe ndo unafanya kukoboa mpunga wako ili upate mchele na gunia 1 la mpunga la debe sita linatoa debe tatu za mchele na debe moja la chenga za mchele
Hivyo basi katika zile gunia 240 unazidisha mara 3 na utapata debe 720 za mchele clear na debe 240 za chenga za mchele
Ukija sokoni debe moja la mchele lina range kwenye 35,000/= kwahyo unazidisha mara debe zako 720 za mchele na utapata kiasi cha TSH. 25,200,000/=, pia debe moja la chenga za mchele ina range kwenye TSH 10,000/= ukizidisha na debe 240 utapata kiasi cha 2,400,000/=
Total itakuwa ni Tsh. 27,600,000/= na ukitoa mtaji wako wa 12,000,000/= utapata net profit ya TSH. 15,600,000/= katika kipindi cha miezi mitano cha kuhifadhi mpunga wako
Ila ukija kutoa gharama za kuhifadhi mpunga na kukoboa haizidi TSH. 5,000,000/=,hivyo bado net profit itabaki kama 10,000,000/= katika miezi mitano yako ya uvumilivu.
Centre zenye mpunga mzuri ni kama zifuatazo Kyela, Kamsamba na kilyatundu, Usangu, Kahama ila kwa Morogoro sizifahamu vizuri
Naomba kuwasilisha na ninakaribisha maswali
Unazingua wwNgoja waje kukupa muongozo...
Mpaka mazao yakubaliNasikia kwa milioni 12 ukilima tikiti unapata milioni 20+ ndani ya mwaka sijui ni ukweli ?[emoji205]
Hata sikushikii bastola wala mjegeja, nimesema langu na Wewe mkweli, Sema lako.Acha uongo
Kila mtu angemiliki chuo,labda madrasa hapo sawaHata sikushikii bastola wala mjegeja, nimesema langu na Wewe mkweli, Sema lako.
Umezungumza vema. Twende kwenye uhalisi sasa, hivi investment ya 14milioni kwa sasa mtu ategemee kuzalisha faida ya kiasi gani kila mwezi. Ikiwezekana tutajie hizo projects zinazoweza kuzalisha hayo makadirio yako ya faida kwa mwezi au share with us projects ulizowahi kuzifanya versus faida zake. Hata kama faida itaonekana baada ya mwaka, au miaka 2, kokotoa utuambie hiyo pesa bila kupepesa macho unadhani ina uwezo wa kuzalisha faida kiasi gani kwa kila mwezi.Ni vizuri ku aim high, ila Brother kwenye biashara kuna concept ya prudence inayosema do not overestimate the amount of revenues recognized or underestimate the amount of expenses.
Maana umetaka upate net profit kubwa sana.
Mpunga unaujua vizuri au unausikia tu, mpunga ukikatika vizuri unaweza tamani kufa hasara yake.Biashara nyepesi na yenye hela nyepesi ni hiyo ya kuweka mpunga store.
Ongea vzr na huyo wa kuweka mazao store ukitulia vzr ukaweka 10M tu kama umefeli kbs lazima upate 8M within 6-7 months
Kwann usiende kufanya hizo hizo wanazofanya wenzio wanapata faida zaidi ya milion 2 kwa mwezKambaku, wapo wanao ingiza zaidi ya hiyo, bado tu hunaziona fursa, kila project ina expectations zake. Tuwasubiri wadau watupe mawazo. Usisahau pia kuwa mtaji wa mil. 12 sio kidogo
Mkuu wacha kumpotosha kijana. Mimi ninafanya biashara hii kwa muda Sasa, hesabu ulizompatia hapa ni hesabu za biashara ya PDF. Kwanza kabisa hakuna gunia la mpunga la Debe 6 linalo toa Debe 3 za mchele na Debe moja la chenga hakuna. Ukweli ni kwamba gunia moja la Debe 7 la mpunga mzuri Sana hutoa wastani wa Debe 3 tu za mchele. Unapo panga kufanya biashara hii Kuna gharama zake na inategemea unanunulia wapi Mfano kwa bondevla Ziwa Rukwa maeneo ya Kamsamba na Kilyamatundu ni kama ifuatavyo;Biashara mpya kwa mtaji huo mkubwa is too much risk kama hautasimamia mwenyewe mkuu
Ila kuna option ya kununua mazao ya chakula hasa Mpunga gunia zako za kutosha na kuziweka store na inapofika kipindi cha Masika unafanya kuzikoboa gunia zako na kupata mchele wako swafi tayari kwa kuingiza sokoni kwani kipindi hicho uhitaji wa mchele unakuwa mkubwa sana hapa Dar es Salaam na Zanzibar
Minimum profit calculation
Katika centre nyingi ninazo zifahamu kwa muda huu gunia moja la Mpunga lina range kwenye TSH. 50,000/=
Hivyo basi kwa Pesa uliyonayo yaani TSH. 12,000,000, utaweza kupata gunia zenye debe sita sita 240 za mpunga na kuzihifadhi.
Kipindi ambacho Masika imechanganya hasa mwezi wa kwanza au wa pili, wewe ndo unafanya kukoboa mpunga wako ili upate mchele na gunia 1 la mpunga la debe sita linatoa debe tatu za mchele na debe moja la chenga za mchele
Hivyo basi katika zile gunia 240 unazidisha mara 3 na utapata debe 720 za mchele clear na debe 240 za chenga za mchele
Ukija sokoni debe moja la mchele lina range kwenye 35,000/= kwahyo unazidisha mara debe zako 720 za mchele na utapata kiasi cha TSH. 25,200,000/=, pia debe moja la chenga za mchele ina range kwenye TSH 10,000/= ukizidisha na debe 240 utapata kiasi cha 2,400,000/=
Total itakuwa ni Tsh. 27,600,000/= na ukitoa mtaji wako wa 12,000,000/= utapata net profit ya TSH. 15,600,000/= katika kipindi cha miezi mitano cha kuhifadhi mpunga wako
Ila ukija kutoa gharama za kuhifadhi mpunga na kukoboa haizidi TSH. 5,000,000/=,hivyo bado net profit itabaki kama 10,000,000/= katika miezi mitano yako ya uvumilivu.
Centre zenye mpunga mzuri ni kama zifuatazo Kyela, Kamsamba na kilyatundu, Usangu, Kahama ila kwa Morogoro sizifahamu vizuri
Naomba kuwasilisha na ninakaribisha maswali
DuhMkuu wacha kumpotosha kijana. Mimi ninafanya biashara hii kwa muda Sasa, hesabu ulizompatia hapa ni hesabu za biashara ya PDF. Kwanza kabisa hakuna gunia la mpunga la Debe 6 linalo toa Debe 3 za mchele na Debe moja la chenga hakuna. Ukweli ni kwamba gunia moja la Debe 7 la mpunga mzuri Sana hutoa wastani wa Debe 3 tu za mchele. Unapo panga kufanya biashara hii Kuna gharama zake na inategemea unanunulia wapi Mfano kwa bondevla Ziwa Rukwa maeneo ya Kamsamba na Kilyamatundu ni kama ifuatavyo;
1. Gunia la Debe 7 =50,000
2.Gharama ya anaye kununulia @ gunia 2000
3 Gharama ya kupima ni maelewano wastani ni 500 @ gunia
4.Mfuko wa Debe 7=1000
5.Gharama za kibali Cha ununuzi wa mazao 50,000
6. Kupakia na kushusha @ gunia 1000
7. Usafiri kutoka kijijini mpk store 7000@ gunia
8. Ushuru wa halmashauri ni 2000@gunia
9.Kuhifadhi gunia moja ni 1000
10. Kukoboa gunia moja la debe7 ni 4200
11.Gharama ya anayeingiza mpunga kwenye kinu ni 300 @ gunia
12. Na kama zimehifadhiwa mbali na kinu kilipo Kuna Gharama ya 500 @ gunia kusogeza.
Hii ni kwa ufupi tu wa biashara ya kukunua na kuchakata mpunga kuwa Mchele.
Hapa ndo nachanganyikiwa kabisaa juu ya biashara gani itanifaaMkuu wacha kumpotosha kijana. Mimi ninafanya biashara hii kwa muda Sasa, hesabu ulizompatia hapa ni hesabu za biashara ya PDF. Kwanza kabisa hakuna gunia la mpunga la Debe 6 linalo toa Debe 3 za mchele na Debe moja la chenga hakuna. Ukweli ni kwamba gunia moja la Debe 7 la mpunga mzuri Sana hutoa wastani wa Debe 3 tu za mchele. Unapo panga kufanya biashara hii Kuna gharama zake na inategemea unanunulia wapi Mfano kwa bondevla Ziwa Rukwa maeneo ya Kamsamba na Kilyamatundu ni kama ifuatavyo;
1. Gunia la Debe 7 =50,000
2.Gharama ya anaye kununulia @ gunia 2000
3 Gharama ya kupima ni maelewano wastani ni 500 @ gunia
4.Mfuko wa Debe 7=1000
5.Gharama za kibali Cha ununuzi wa mazao 50,000
6. Kupakia na kushusha @ gunia 1000
7. Usafiri kutoka kijijini mpk store 7000@ gunia
8. Ushuru wa halmashauri ni 2000@gunia
9.Kuhifadhi gunia moja ni 1000
10. Kukoboa gunia moja la debe7 ni 4200
11.Gharama ya anayeingiza mpunga kwenye kinu ni 300 @ gunia
12. Na kama zimehifadhiwa mbali na kinu kilipo Kuna Gharama ya 500 @ gunia kusogeza.
Hii ni kwa ufupi tu wa biashara ya kukunua na kuchakata mpunga kuwa Mchele.