Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
mkuu Namna ya kuagiza huo mzigo wa nguo china
unafuata mnyewe?
Mtaji wa chini kabisa ni Tsh ngapi?
 
Fungua biashara ya m_pesa,tigo pesa, Airtel money, fanya na uwakala wa nmb, Crdb, utafanikiwa Sana ,,,usiajiri mtu Anza kusimamia mwenyewe kuwa makini na matapeli utafanikiwa Sana.
Kwa makadirio ni nini au ni kiasi gani cha mtaji kinahitajika kwa hii biashara? Ukiweka kando gharama za fremu/ofisi/chumba cha kukodi!
 
Karibu kwenye samaki ,unapata zaidi ya m2 hiyo unapata kwa week moja tu
 
Njoo Dodoma fungua min super market, location za hiyo biashara zipo nyingi sana am sure population Dodoma imekuwa kwa kipindi hiki uhitaji wa biashara ya namna hiyo nikubwa sana.
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Ila tatizo la Kariakoo NI KUPATA HIYO FREMU! Hapo ndiyo ngoma, kwani kwanza ni bei ghali sana na pili hazipatikani kwa urahisi hasa baada ya ule msala wa MOTO! Mambo ndiyo yamezidi kuwa balaa. Sijui kwa wenye uzoefu watujuze!
 
sawa, mshauri project ambayo kila mwezi atapata 2m kwa mtaji wa 12m...karibu
Zipo nyingi ikiwa ni pamoja na kuuza nguo, nguo za aina zote hapo K'koo! Ni suala la kupata the right place na the right contacts za kuupata huo mzigo. Hata ukiuza simu used or refurbished kutoka DUBAI ni pesa tu, ili mradi uwe mahali sahihi au hata hizo spares za magari, ni faida tu ili mradi uwe mahali sahihi at the right time.
 
Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.
Hizo simu achukue wapi, Kariakoo au Dubai au Uchina? Na mchanganua wa uwekezaji huu unakuwa vipi, yaani unaingia tu kila duka na kusaka wanunuzi au unakuwa na oda maalum? Mwaga madini.
 
Mkuu acha nikwambie kitu kimoja uwasaidie na wengine watakaokuja kukuomba ushauri siku 1 huko mbeleni.

Fahamu biashara ni mchezo wa bahati na sibu,huku hamnaga constant profit hata siku 1 kwahiyo usidanganywe wala usipumbazwe na watu watakao kwambia biashara flani ina uhakika wa kiasi flani per day..per month,nk.

Hata kama biashara inaweza kukupa faida ya 2m per month fahamu sio miezi yote utalamba 2m,kwa biashara hyo hyo utapata siku hyo 2m yako, kuna mwezi utapat 3m,kuna miezi itafululiza hata mi 3 Utapata 50k per month, usishangae Huo ndio ukweli.

kwa hiyo kama ushajua ipo miezi utakayosugua benchi na biashara ni ile ile,mtaji ni ule ule, Anzia kuwaza kuanzia hapo sasa... unapowaza biashara ya kufanya usiishie kwenye mafaida ya kila mwezi,mafaida ya kila siku yatakufanya UPOTEZE uje ulie ukose wakukupa pole

ukishajua kuna miezi itaongozana hupati 2m na mtaji umewekeza 12m ninachokushauri ni uachane na biashara 1 kubwaaa na ufungue biashara nyingi ndogo ndogo.

Natamani tu ufahamu 2m ni sawa na uhakika wa faida 70k per day,sasa kama n hvyo kuna biashara nyingi sana za kukupa 50k to 70k za mitaji isiyozidi 2m.

Kwa hiyo ukiwa na 12m unaweza fungua biashara zaidi ya 4 zitakazokupa only 30k, just 30k x 4 = 120k per day ukizdsha 120k x 30 = 3,600,000

Nimekwambia biashara haina constant profit so ktk hiyo 3.6 kwa sababu hiyo ni total ya biashara 4 wewe utakua na uhakika wa kutoyumba hata kama biashara 1 haitokupa 30k zingine zitakupa,biashara hii ikigoma ile kule inakupa.. miezi ya shetani ikifika wenzako wakiwa wanalalamika biashara mbaya.

wewe kwako itakua ni tofauti,biashara yako itakua mbaya kwa namna ya faida kupungua ila si kukosa faida kwahyo kama ulikua ukipata 3.6m sasa hv utakua unapata 2m (ile target yakooooo) or utacheza 2.5,2,2,nk nk,nk

kwanini utakua na uhakika?!

Kwasababu hujawekeza kwenye biashara 1,umewekeza kwenye biashara nyingi ndogo ndogo ambapo uhakika wa faida ni mkubwa kuliko hasara, LAKINI ukitia 12m YOTE kwenye biashara yyte utakayoshauriwa au utakayoiafiki ina pesa,fahamu kwamba zipo siku zitakuja utakua na majuto makubwa kuliko mwanaume aliegundua anagongewa mke wake.

My POINT...

Split that capital into pieces... fungua biashara tofauti bado hauna kitu mkuu,12m is nothing anytime inapeperuka hiyo inabaki story ulishkaga 12m, usiwaze mavitu makubwa makubwa bado wewe n mjasiriamali mduchu sana sana sana,jishushe anzia huku down Halafu utaona namna utavyotusua.

ukiwa na malengo nina uhakika ndani ya mwaka 1 ukiweza fanya kama ninavyotamani ufanye kwa mtaji HUO ukifunga mwaka wa miezi 12,wasipokuita freemason watasema ulienda kuloga.

ila ukienda kama ninavyohisi unataka kwenda,mimi sikuombei mabaya ila nataka ufahamu utakua na safari ndefu sana kufikia ndoto zako.. Fupisha hiyo safari pita shortcut ili uzifikie ndoto zako angali kijana na una nguvu,angali ulimi wako una feel taste ya fanta orange...
Biashara hizo ndogo ndogo NI ZIPI? Hebu jaribu kuzitaja ili na wengine tupate MAUJUZI.
 
Zipo nyingi ikiwa ni pamoja na kuuza nguo, nguo za aina zote hapo K'koo! Ni suala la kupata the right place na the right contacts za kuupata huo mzigo. Hata ukiuza simu used or refurbished kutoka DUBAI ni pesa tu, ili mradi uwe mahali sahihi au hata hizo spares za magari, ni faida tu ili mradi uwe mahali sahihi at the right time.
hizi biashara kwa mwezi unapata 2m sio? Jaribu tena kufanya research mkuu, 2m sio pesa ndogo au unazungumzia mauzo tu
 
Mimi nina bakery iko mbezi beach ninahitaji partner...kama uko intrested nicheck 0714882311...whatsapp only
Partner wa kufanya nini? Kuuza au kuoka mikate au cake au kukarabati hizo mashine au nini na unahitaji awe na mtaji gani - pesa, mashine au ujuzi/utaalamu? Hebu funguka
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Dah I wish ningezipata hizo hela , fanya hivi ajiri mtu au ingia mbeya vijijini hasa mbalizi katika maeneo haya _isuto , ilembo , ilindi na iduwili ni wakulima wa kahawa, nunua kahawa kwa ndoo ya lita ishirini kwa elfu 5000_7000 then nunua mashine ya kuzibangua na pia zikaushe baada ya kuzibangua, uza kwenye viwanda maana wanakuja wenyewe kuchukua ulipo.

Nb. Kukauka ni ndani ya siku mbili mpaka tatu kwa kuwa unakuwa ni msimu wa kiangazi.

Kiwandani ndoo hiyo ya lita 20 inarange kwenye 40000_50000 .

Mahitaji unayotakikana kuwa nayo.

_Eneo la kuanikia na kutunzia kwa mda kabla ya kuuza
_mashine ya kubangua _350000tsh_400000tsh
_maturabai atleast matano( 5)
_ mwenyeji wa kukupitisha kukusanya, pamoja na usafiri wa pikipiki au gar.

Ahsante .
Ushauri tu.

TEKERI.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom