Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ni kama anaigiza mkuu 'Muuza Kangala'?
Mbona kesha pupu kwenye PantMbona ni kama anaigiza mkuu 'Muuza Kangala'?
Mtu aambiwe "atapigwa risasi" halafu ajiinjoi na maji/kinywaji namna hiyo?
Mbona hali ingekuwa ni mbaya sana?
Mkuu unaishi ughaibuni?Ccm wasidhani kama wapo safe kwa hii wave inayoendelea
Wave ipi? Wewe hao wa Afrika Magharibi imeanza kuwasekia kwenye 'wave' leo? Ahahahahaha!!!Ccm wasidhani kama wapo safe kwa hii wave inayoendelea
Jjiwe bahati yake,tungezaanaeNa haya mafisadi ya Tanzania yaambiwe hivyo
HayaWave ipi? Wewe hao wa Afrika Magharibi imeanza kuwasekia kwenye 'wave' leo? Ahahahahaha!!!
hayaMkuu unaishi ughaibuni?
Kwa tz CCM ipo sana